Zanzibar inavyoanza kujitegemea uzalishaji wa nyama, mboga na viungo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutekeleza mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo na mifugo, hatua inayolenga kupunguza utegemezi wa kuagiza mazao na bidhaa za mifugo kutoka nje...
Makonda: Elimu ya fedha itajenga jamii imara Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema elimu ya fedha kwa wananchi inasaidia kujenga jamii yenye uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya kifedha na kuchochea ukuaji wa...
Kajuna wa Simba afariki Dunia kuzikwa leo Kisutu Klabu ya Simba imepata pigo baada ya mwanachama na kiongozi wake Idd Kajuna kufariki dunia baada ya kuugua kwa siku saba.
Uhusika wangu wa Jonasi unaniletea shida Mwigizaji kutoka Afrika Kusini, S'dumo Mtshali, amesema uhusika wake wa Jonasi Gomora katika tamthilia ya The Polygamist umemfanya kuwa mmoja wa waigizaji wanaozungumziwa zaidi, huku baadhi ya...