Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Idara ya Misitu Zanzibar: Nguzo muhimu ya uhifadhi wa mazingira, kukuza utalii na uchumi

    Sekta ndogo ya misitu Zanzibar imeendelea kuwa mhimili muhimu katika kulinda mazingira, kukuza utalii na kuchangia maendeleo ya uchumi wa nchi hiyo.

  2. Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar

    Sekta ya kilimo imeendelea kuwa mhimili muhimu wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Zanzibar. Kwa miaka mingi, sekta hii imekuwa chanzo kikuu cha ajira, kipato na usalama wa chakula kwa wananchi...

  3. UCSAF inavyofungua milango na fursa za maendeleo kupitia uboreshaji wa huduma za mawasiliano nchini

    Katika kile kinachotajwa kama kilele cha mapinduzi ya teknolojia ya habari na mawasiliano nchini, Serikali ya awamu ya sita imehiti­misha hatua kubwa ya kihistoria kwa kuwafungulia ulimwengu...

  4. Kutoka Cameroon hadi Urusi: Safari ya Essaga ya kutafuta mafanikio na kuungana tena na mama yake

    Kwa kawaida, washiriki hao husafiri kwa ndege kurudi kwao wakati wa likizo. Lakini safari hii, mama wa mmoja wa washiriki alikuja kumtembelea mwanawe.

  5. Safari ya kujenga umakini, kumbukumbu na kujiamini kwa watoto jijini Tanga

    Kijiji cha Konazedi kipo umbali wa kilomita kumi na sita kutoka jijini Tanga ambacho barabara yake imekatisha kwenye mapango ya Amboni, ndipo binti mwenye umri wa miaka minne, Aisha anapoanzia...

  6. TEN/MET inavyojenga mustakabali wa mtoto wa Kitanzania kupitia elimu jumuishi na mazingira salama ya kujifunzia

    Miongoni mwa wadau hao ni Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), unaojumuisha wanachama zaidi ya 265 kutoka asasi za kiraia nchini na ambao kwa miaka mingi umeendelea kutetea elimu bora, jumuishi...

  7. รีวิว 7 อันดับ บาคาร่าเว็บตรง ไม่จำกัดวงเงินถอน น่าเชื่อถือที่สุด 2026

    บาคาร่าเว็บตรง คือรูปแบบการเล่นบาคาร่าออนไลน์ที่ผู้เล่นสมัครและเดิมพันผ่านเว็บไซต์หลักของแบรนด์โดยตรง ไม่ผ่านระบบเอเย่นต์หรือเครือข่ายย่อย ทำให้ทุกธุรกรรมตั้งแต่การฝากเงิน ถอนเงิน...

  8. Idara ya Umwagiliaji inavyoendeleza na kukuza kilimo, uzalishaji wa mazao ya chakula Zanzibar

    Sekta ya kilimo imeendelea kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa Zanzibar kwa miaka mingi, ikitoa ajira kwa sehemu kubwa ya wananchi na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika usalama wa chakula na kipato...

  9. Sekta ya kilimo Zanzibar iko kwenye muelekeo mzuri chini ya Idara ya Mipango, Sera na Utafiti

    Sekta ya kilimo imeendelea kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa Zanzibar, ikiwezesha ajira kwa wananchi wengi na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika usalama wa chakula na maendeleo ya kijamii.

  10. Interactive Odontograms for Modern Dental Clinics | Dendoo

    Discover why dentists are replacing paper charts with interactive odontograms. Improve treatment planning, patient communication, billing accuracy, and clinical documentation with Dendoo.

  11. Mageuzi ya sekta ya kilimo Pemba: Nguzo ya uchumi, usalama wa chakula na maendeleo

    Sekta ya kilimo imeendelea kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa visiwa vya Zanzibar, hususan Pemba, ambako idadi kubwa ya wananchi hutegemea kilimo na mifugo kwa ajili ya kipato na chakula.

  12. Wakala wa Serikali wa Huduma za Matrekta na Zana za Kilimo: Nguvu mpya ya mageuzi ya kilimo Zanzibar

    Sekta ya kilimo imeendelea kuwa mhimili muhimu wa uchumi wa Zanzibar, ikitoa ajira kwa maelfu ya wananchi na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika usalama wa chakula pamoja na kipato cha kaya nyingi.

  13. Sekta ya mifugo Zanzibar inavyopaa chini ya Idara ya Maendeleo ya Mifugo

    Idara hii imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha ufugaji unakuwa wa kisasa, wenye tija na unaochangia kwa kiwango kikubwa ustawi wa wananchi pamoja na maendeleo ya uchumi wa visiwa hivyo.

  14. Miaka 13 ya EnDev: Mapinduzi ya nishati safi yanavyobadili maisha ya mamilioni ya Watanzania

    Kwa kipindi cha zaidi ya muongo mmoja sasa, mapinduzi ya kimyakimya lakini yenye nguvu kubwa yamekuwa yakishika kasi katika maeneo ya vijijini na pembezoni mwa miji nchini.

  15. Mikakati ya d.light katika kuinua kipato cha Watanzania, kuunga mkono ajenda ya nishati safi

    Miongo kadhaa nyuma, mwanga hafifu wa vibatari ndiyo ulikuwa chanzo pekee cha mwanga kwa mamilioni ya kaya vijijini hapa nchini.

  16. Tanzania yazindua mkakati na mpango wa uwekezaji wa kuendeleza sekta ya mbegu

    Dodoma. Serikali ya Tanzania imezindua rasmi Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Mbegu Tanzania pamoja na Mpango wa Uwekezaji, hatua inayoweka dira ya kitaifa ya kuimarisha sekta ya mbegu nchini hadi...

  17. Zanzibar yageukia teknolojia ya SRI na uhifadhi shirikishi kunusuru misitu, kuongeza tija katika kilimo

    Katika kile kinachoonekana kama mapinduzi ya kimyakimya kwenye sekta ya uzalishaji na hifadhi, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kupitia Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo...

  18. Zanzibar inavyopaa katika sekta ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo

    Sekta ya kilimo imeendelea kuwa mhimili muhimu wa uchumi wa Zanzibar, ikichangia ajira kwa idadi kubwa ya wananchi pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa chakula ambapo takwimu zinaonyesha kuwa...

  19. Coop Bank kutenga Sh10 bilioni kwa ajili ya mikopo kwa vijana, wajasiriamali

    Tawi hilo jipya la Morocco ni la sita kufunguliwa na benki hiyo kwa kipindi kifupi huku ikijiandaa kufungua matawi mengine katika mikoa ya Mtwara, Kagera, Mwanza na Arusha ikiwa ni sehemu ya...

  20. Dk Witts aeleza dhamira ya Coop Bank katika kuwafikia Watanzania wengi zaidi na huduma jumuishi

    Mwenyekiti wa Bodi ya Coop Bank Tanzania, Dk Joseph Witts amesisitiza dhamira ya benki hiyo katika kuimarisha ujumuishi wa kifedha nchini kufuatia uzinduzi wa tawi jipya la Morocco jijini Dar es...