Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Siku 100 za Yas: Ubunifu, tuzo na huduma bora kwa Watanzania

    Novemba 6, mwaka jana, Kam­puni ya Mawasiliano Yas (zamani Tigo) ilifanya mabadiliko makub­wa ya chapa zake. Kampuni hii ambayo ilianza kutoa huduma nchini Tanzania miongo mitatu iliyopita kwa...

  2. Mradi wa “Mlinde Mama” wachochea afya bora kwa wajawazito mkoani Geita

    Mwaka 2022, PHIT ilipokea ufadhili kutoka mfu­ko wa Bill and Melinda Gates Foun­dation (BMGF) ili kutekeleza mradi wa “Mlinde Mama” mkoani Geita.

  3. EU, washirika wake watembelea Mwanza kuboresha uhusiano na kuzindua Mpango wa Maendeleo ya Uwekezaji Mijini

    Ziara hiyo ya siku mbili jijini Mwanza imehusisha vikao kati wa ujumbe huo na uongozi wa mkoa, kutembelea miradi inayofadhiliwa na EU na kutekelezwa chini ya mpango wa nchi za Ulaya

  4. WCF na uboreshaji ustawi wa wafanyakazi Tanzania

    Katika miaka minne ya uongozi wa Rais Dk Samia, zipo hatua kubwa za kimaendeleo zimepigwa na Mfuko huo ambazo zinahi­taji kusherehekewa katika kipindi hiki.

  5. Weholite na ujenzi wa kesho mpya ya mifumo bora ya usimamizi wa maji

    Kuendesha na kudumisha mifu­mo ya usimamizi wa maji sala­ma hakuwezi kufanikiwa bila uwekezaji mpya na utaalamu wa kiufundi, hususan ukizingatia ongezeko la idadi ya watu katika maeneo ya mijini...

  6. SAS Logistics Ltd yaongoza njia katika umahiri wa sekta ya usafirishaji mizigo nchini

    Kila mtu anaweza kuwa msafirishaji wa bidhaa, lakini si kila msafirishaji atakufikishia mzigo ukiwa salama kama inavyotakiwa kama anavyofanya SAS Logistics Ltd.

  7. Safari ya mafanikio ya NHC na miaka minne ya mafanikio ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Katika miaka ya mwanzo, NHC lilitekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na majengo ya umma, lakini changamoto za kiuchumi na kisheria zilianza kuathiri utendaji wake.

  8. Waterforce TZ na ndoto ya kuifanya Tanzania kuwa kinara uvumbuzi wa matibabu ya maji

    Dar es Salaam. Usimamizi wa maji taka ni muhimu ili kupunguza athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi, hata hivyo, nchini Tanzania, sekta hiyo inakabiliwa na uwezo mdogo wa kitaasisi, uratibu...

  9. Benki ya CRDB katika nyayo za mafanikio ya Serikali ya Rais Samia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela anasema benki imeimarika katika maeneo tofauti kuanzia ukubwa wa mizania yake, mikopo inayotoa hata amana za wateja inazopokea jambo...

  10. Masoko ya Mitaji Tanzania yashamiri katika miaka minne ya uongozi mahiri wa Rais Samia

    Rais wa Jamhuri ya Muun­gano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo na ustawi wa sekta ya maso­ko ya mitaji, katika kipindi cha miaka minne ya uongozi...

  11. Miaka minne ya uongozi imara: Jinsi Rais Samia alivyoleta mapinduzi ya usalama na afya kazini nchini

    Alipoingia madarakani Machi 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alikuja na maono thabiti kwa Tanza­nia ya kuhakikisha kila mwa­nanchi anafanya kazi katika...

  12. Yafahamu mafanikio ya TBA katika miaka minne ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan

    Wakati ikiwa imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan tayari maendeleo katika sekta mbalimbali nchini yame­onekana kwa kiasi kikubwa kama ilivyo azma yake ya...

  13. TALIRI na mafanikio lukuki ndani ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita

    Tanzania kama ilivyo kwa nchi zingine za Kusini mwa Jangwa la Sahara ina idadi kubwa ya mifugo ya asili kuliko iliyoboreshwa. Hivyo, kaya zinazojishughulisha na ufugaji zinafuga mifugo ya asili.

  14. Miaka minne ya Rais Samia imefufua matumaini ya Watanzania katika upatikanaji wa haki na uendeshaji wa huduma za mashtaka ya jinai

    Tangu kuanzishwa kwa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka tunashuhudia malalamiko ya vilio vya haki, msonga­mano wa mahabusu, uchele­washaji kesi na ubambikaji wa kesi sasa vyapata muaro­baini kwani mama...

  15. NSSF yajivunia kasi ya ufanisi na mafanikio katika sekta ya hifadhi ya jamii nchini

    Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeanika mafani­kio lukuki ya ufanisi kiutendaji ambayo yamepatikana katika kipindi cha miaka minne ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Awamu...

  16. Mafanikio ya NIDA katika miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita

    Tunapo zungumzia mafani­kio ya Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan inapofik­isha kipindi cha miaka 4 mada­rakani, huwezi kuacha kuzun­gumzia mafanikio makubwa...

  17. Jiji la DSM lajivunia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mafanikio ndani ya miaka minne ya Rais Samia madarakani

    Miaka minne imepita tangu Tai­fa letu lilipoandika historia mpya ya kuwa na Amiri Jeshi Mkuu wa kwanza Mwanamke, Rais wa Jam­huri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk Samia Suluhu Hassan, ni mengi...

  18. Rais Samia na miaka minne ya uboreshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja

    Safari yake ya utendaji katika wadhifa wa urais, ilianza na mashaka kutoka kwa baadhi ya wananchi, wakidhani uendelezaji wa miradi iliyoachwa na mtangulizi wake, kisingekuwa kipaumbele chake.

  19. Tunaiangazia kesho yetu tukiwa na imani tunaposherehekea Siku ya Mtakatifu Patrick

    Kwa sisi tulio Tanzania, mwaka huu una mvuto wa kip­ekee tukiwa tunaadhimisha miaka 45 ya uhusiano baina ya nchi hizi mbili.

  20. Selcom Pesa: Huduma ya kifedha inayokupa uhuru wa miamala kwa makato madogo 

    Licha yawatumiaji wa huduma za kifedha kuendelea kuongezeka nchini, bado huduma nyingi za kifedha zimeendelea kumbebesha mwananchi wa kawaida mzigo wa gharama za huduma.