Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Teknolojia na changamoto za utoaji wa elimu vyuoni

    Tanzania inahitaji kutafakari upya nafasi na mfumo wa elimu ya vyuo vikuu, ikiwa inataka kuwapatia vijana ujuzi unaohitajika katika uchumi wa dunia unaobadilika kwa kasi.

  2. Utafiti wataja dhana ya ‘kufikiri nje ya boksi; kuboresha elimu

    Kwa miaka mingi, mijadala kuhusu kushuka kwa ubora wa elimu nchini Tanzania imekuwa ikijirudia.

  3. Vyuo vyaanza kuibua mbinu kukabili kilio cha ajira kwa wahitimu

    Katika kipindi ambacho Tanzania inaendelea kukabiliwa na changamoto ya ajira kwa vijana, vyuo vikuu vimejikuta katikati ya mjadala mkali kuhusu nafasi yao katika kuwaandaa wahitimu kukabili...

  4. AI yaanza kutumika kutengeneza chanjo za Ebola, Uviko-19, wataalamu watia neno

    Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiendelea kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababisha vifo vya watu 232, matumaini mapya yanaibuka katika ulimwengu wa sayansi baada ya...

  5. ‘Mapambano dhidi ya malaria yaelekezwe ngazi ya jamii’

    Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vincent Naano amesema mafanikio ya kutokomeza malaria hayawezi kupatikana kwa juhudi za sekta ya afya pekee, bali yanahitaji ushiriki wa moja kwa moja wa wananchi...

  6. Wanandoa ni sawa na kata na mtungi

    Kuna usemi kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kama wewe ni mtungi, nani ni kata yako? Je, nani ajuaye siri zako au za mwenza wako zaidi ya nyinyi wawili kuliko mtu yeyote?

  7. PRIME  Usisahau kumwambia mwanao mambo yafuatayo…

    Soma zaidi hapa...

  8. PRIME Maneno hatari kusemwa kwa mpenzi wa kike

    Soma zaidi hapa...

  9. Epuka washauri wengi kwenye ndoa, uhusiano

    Ndoa nyingi zimeharibika si kwa sababu matatizo yalikuwa makubwa, bali kwa sababu kelele za nje zilikuwa nyingi kuliko sauti ya busara ya ndani.

  10. Malezi ya watoto kwenye nyumba za kupanga

    Katika miji mingi nchini, maisha ya nyumba za kupanga yamekuwa sehemu ya kawaida ya familia nyingi.

  11. Hii ndiyo zawadi wanayostahiki kina baba

    Katika mijadala ya malezi ya kisasa, baba mara nyingi huonekana kama mtoaji mkuu wa mahitaji ya familia akiwa na jukumu la kuhakikisha chakula kiko mezani, ada zinalipwa na maisha yanaendelea.

  12. PRIME Makosa ya familia matumizi ya dawa za meno

    Soma zaidi hapa...

  13. PRIME Umuhimu wa mazoezi kwa mama aliyejifungua

    Soma hapa...

  14. Fahamu uhusiano wa kisukari na shinikizo la damu

    Kisukari na shinikizo la damu ni miongoni mwa magonjwa yasiyoambukiza yenye uhusiano mkubwa, na mara nyingi huweza kumpata mtu mmoja kwa wakati mmoja.

  15. PRIME Janga la sikoseli, utafiti wafichua siri

    Soma hapa...

  16. Wenza wanavyoshirikiana asilimia 30 ya bakteria wa tumboni

    Utafiti mpya umebaini kuwa watu wanaoishi pamoja kama wanandoa au wapenzi hushirikiana kiasi kikubwa cha vimelea vya asili mwilini mwao (microbiome), hususan bakteria wa tumboni.

  17. Wagonjwa wa moyo kupata majibu ndani ya dakika nane JKCI

    Ile hali ya kutumia dakika 30 kusubiri majibu ya vipimo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inabaki historia, baada ya taasisi hiyo kusimika mtambo wa Akili Unde (AI) utakaotoa majibu...

  18. Mchengerwa aeleza mfumo wa kisheria upandikizaji viungo ulipofikia

    Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ipo hatua za mwisho kuandaa mfumo imara wa kitaasisi na kisheria wa upandikizaji wa viungo utakaosaidia kuratibu huduma hizo kwa uwazi...

  19. Serikali yatoa wito uchangiaji damu wa hiari

    Serikali imewahimiza Watanzania kujitokeza kwa wingi na mara kwa mara kuchangia damu ili kusaidia kuokoa maisha ya maelfu ya wagonjwa, hususan akina mama wajawazito, watoto wenye upungufu wa...

  20. Sh24 bilioni kukabili Ebola, Mpox Afrika Mashariki

    Serikali ya Ujerumani imetoa msaada wa Euro 8 milioni (takribani Sh24.2 bilioni) kwa ajili ya kuimarisha uwezo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kukabiliana na magonjwa ya Ebola na Mpox katika...