1. PRIME Hekaheka za mfanyakazi wa ndani hadi dereva lori

    Hadi amefikia kufanya kazi hiyo, amepitia mambo mengi, aliyomsimulia mwandishi wa Jarida la Familia katika mahojiano maalumu yaliyofanyika ndani ya lori wakati wakitoka jijini Dar es Salaam...

  2. Mwanamume fanya yote usisahau hili

    Kondakta wa daladala Dar es Salaam huamka saa kumi alfajiri na kukutana na dereva wake sehemu wanapolaza gari lao.

  3. Fahamu lugha za mapenzi kwenye uhusiano

    Ni vyema kila aliyeko kwenye uhusiano, mapenzi au ndoa kufahamu ziko namna za kuwasiliana na kufahamiana baina ya wapenzi ambazo endapo mmoja anakosea kwa kujua au kutokujua anakuwa analeta...

  4. Jafarai yuko zake bize kuosha ndinga

    Wimbo wa ‘Niko Busy’ ndio ulimtambulisha Jafarai kwenye ramani ya muziki, ilikuwa ngoma yake ya kwanza kuifanya nje ya kundi la Wateule, Jafar Ally, miongoni mwa mastaa wa zamani wa Hiphop...

  5. PRIME Siku ya kwanza darasani kwa mwalimu asiyeona

    Michael Kayumbo (34) mzaliwa wa kijiji cha Mwanhalanga mkoani Shinyanga, ni kielelezo tosha cha namna watu wenye ulemavu wanavyoweza kufanya makubwa kwao wenyewe na kutoa mchango kwa Taifa.

  6. PRIME Zaidi ya miaka 10 ya majanga, sasa vicheko shule za kata

    Ziliota kama uyoga kila kona ya nchi; wengi wakaingiwa woga. Swali likawa itawezekana na walimu wa kuzihudumia shule hizo zote watatoka wapi?

  7. ‘Rubani’ aliyetumia muziki kupata maokoto ya kilimo

    Imani Makongoro

  8. Sababu za kuongea usingizini

    Wataalamu wa afya wanasema kulala ni kitendo cha kuuruhusu ubongo kupumzika kufanya kazi kwa sababu mtu anapokuwa katika shughuli zake za kila siku, huusisha ubongo.

  9. VIDEO: Miaka 14 ya hedhi ya mateso

    Maisha ni mapambano, si vyema kukata tamaa. Ni ujumbe unaoshabihiana na simulizi ya Sada Jinyevu (35), anayepitia mateso kila anapopata hedhi.

  10. Amapiano inavyobeba promo ya kazi na bata Bongo

    Wakati unywaji pombe kupita kiasi ukiwa ni hatari kwa afya yako na chanzo cha umasikini katika familia nyingi, si ajabu kuona idadi kubwa ya nyimbo za amapiano nchini zinahamasisha unywaji wa...

  11. Simulizi ya mbinu za Halima alivyopona Kifua Kikuu sugu

    Wengi tukisikia ugonjwa wa kifua kikuu huwa tunaogopa. Wazo linalomjia kichwani mtu anayekutana na mgonjwa mara nyingi ni hofu ya kuambukizwa.

  12. Hatari ya shisha kwa vijana katika kifua kikuu

    Ni kawaida siku hizi katika kumbi za starehe mijini kukuta mitungi ya shisha juu ya meza, huku watumiaji wakichangia kilevi hicho. Je, unajua kuna uwezekano mkubwa mtumiaji kupata maambukizi ya...

  13. Kutuma nauli na utapeli mwingine wa baadhi ya wanawake

    Kama hujawahi kutapeliwa na mwanamke unastahili pongezi. Takwimu tunazokusanya kwenye vijiwe tunavyokutana wanaume zinasema wanawake wanaongoza kwa kututapeli.

  14. PRIME Sababu likizo ya uzazi kwa watoto njiti kuongezwa

    Kuna simulizi nyingi za baadhi ya wanawake kupoteza ajira baada ya kujifungua watoto njiti kutokana na kuhitaji muda wa ziada wa kulea watoto hao baada ya likizo ya uzazi ya miezi mitatu kumalizika.

  15. PRIME Vyakula pendwa, hatari kwa afya

    Unapenda kula saladi/kachumbari, nyama choma, mayai ‘macho ya ng’ombe’, maziwa yasiyochemshwa na vinginevyo? Unapaswa kuchukua tahadhari unapokula vyakula hivi ili kuepukana na changamoto za kiafya.

  16. Mzigo unavyowaelemea walimu wanaofundisha elimu ya awali

    Walimu wa madarasa ya awali katika shule za Serikali wanalazimika kufundisha wanafunzi takribani mara sita ya kiwango kilichowekwa na Serikali jambo ambalo wadau wametaka lishughulikiwe ili...

  17. Zingatia haya unapovaa tai

    Kuna mambo huhitajika kuzingatiwa ili kuvutia kila wakati, ikiwamo mpangilio wa mavazi.

  18. TUONGEE KIUME: Usichotakiwa kufanya ukiwa mwanamume usiye na ajira

    Katika kitabu chake cha Jobs Ends, milionea kijana Taylor Pearson ameandika, “kwa enzi hizi za matumizi makubwa ya mashine na intaneti, ajira yako ni kitu kinachoweza kupotea kufumba na kufumbua,...

  19. PRIME Ifahamu shule aliyosoma Rais Samia

    Mmoja wa wanafunzi waliopitia hapo ni Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye siku chache zijazo anatarajiwa kufika shuleni hapo kwa ajili ya kufungua majengo mapya yaliyofanyiwa ukarabati.

  20. PRIME Hizi hapa fani zenye mshahara mnene

    Taaluma hii kiwango chake cha juu cha malipo kwa mwezi nchini Tanzania ni Sh2,770,041 ambapo kwa mwaka ni Sh33,240,500 hii ni kwa mujibu wa tovuti ya World Salary.