‘Kaunga’ mabaki ya kuku yenye ladha, lakini hatari kiafya
Katika maeneo ya Buguruni, Tandale na Temeke, biashara ya kaunga hufanyika, mabaki haya yakiuzwa kati ya Sh200 na Sh500 kwa fungu, huku wafanyabiashara wengine wengine wakiyatoa bure kwa wahitaji.