AI yaanza kutumika kutengeneza chanjo za Ebola, Uviko-19, wataalamu watia neno Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiendelea kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababisha vifo vya watu 232, matumaini mapya yanaibuka katika ulimwengu wa sayansi baada ya...
‘Mapambano dhidi ya malaria yaelekezwe ngazi ya jamii’ Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vincent Naano amesema mafanikio ya kutokomeza malaria hayawezi kupatikana kwa juhudi za sekta ya afya pekee, bali yanahitaji ushiriki wa moja kwa moja wa wananchi...
Wanandoa ni sawa na kata na mtungi Kuna usemi kuwa siri ya mtungi aijuaye kata. Kama wewe ni mtungi, nani ni kata yako? Je, nani ajuaye siri zako au za mwenza wako zaidi ya nyinyi wawili kuliko mtu yeyote?
Epuka washauri wengi kwenye ndoa, uhusiano Ndoa nyingi zimeharibika si kwa sababu matatizo yalikuwa makubwa, bali kwa sababu kelele za nje zilikuwa nyingi kuliko sauti ya busara ya ndani.
Malezi ya watoto kwenye nyumba za kupanga Katika miji mingi nchini, maisha ya nyumba za kupanga yamekuwa sehemu ya kawaida ya familia nyingi.
Hii ndiyo zawadi wanayostahiki kina baba Katika mijadala ya malezi ya kisasa, baba mara nyingi huonekana kama mtoaji mkuu wa mahitaji ya familia akiwa na jukumu la kuhakikisha chakula kiko mezani, ada zinalipwa na maisha yanaendelea.
Fahamu uhusiano wa kisukari na shinikizo la damu Kisukari na shinikizo la damu ni miongoni mwa magonjwa yasiyoambukiza yenye uhusiano mkubwa, na mara nyingi huweza kumpata mtu mmoja kwa wakati mmoja.
Wenza wanavyoshirikiana asilimia 30 ya bakteria wa tumboni Utafiti mpya umebaini kuwa watu wanaoishi pamoja kama wanandoa au wapenzi hushirikiana kiasi kikubwa cha vimelea vya asili mwilini mwao (microbiome), hususan bakteria wa tumboni.
Wagonjwa wa moyo kupata majibu ndani ya dakika nane JKCI Ile hali ya kutumia dakika 30 kusubiri majibu ya vipimo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inabaki historia, baada ya taasisi hiyo kusimika mtambo wa Akili Unde (AI) utakaotoa majibu...
Mchengerwa aeleza mfumo wa kisheria upandikizaji viungo ulipofikia Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ipo hatua za mwisho kuandaa mfumo imara wa kitaasisi na kisheria wa upandikizaji wa viungo utakaosaidia kuratibu huduma hizo kwa uwazi...
Serikali yatoa wito uchangiaji damu wa hiari Serikali imewahimiza Watanzania kujitokeza kwa wingi na mara kwa mara kuchangia damu ili kusaidia kuokoa maisha ya maelfu ya wagonjwa, hususan akina mama wajawazito, watoto wenye upungufu wa...
Sh24 bilioni kukabili Ebola, Mpox Afrika Mashariki Serikali ya Ujerumani imetoa msaada wa Euro 8 milioni (takribani Sh24.2 bilioni) kwa ajili ya kuimarisha uwezo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kukabiliana na magonjwa ya Ebola na Mpox katika...
Nafasi ya wivu katika ustawi wa ndoa Katika maisha ya ndoa, wivu ni hisia isiyoweza kuepukika. Pale watu wawili wanapochagua kushirikiana maisha, moyo, muda na ndoto, hulka ya kumiliki na kulinda hujitokeza kwa namna ya wivu.