Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Watafiti wagundua dawa asilia kuotesha nywele wenye vipara

    Watafiti wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (Tawiri) wamegundua dawa ya asilia yenye uwezo wa kuzuia nywele kukatika lakini pia kuotesha nywele kwa watu wenye vipara.

  2. 300 wafanyiwa upasuaji wa macho

    Watu 4,000 waliofanyiwa vipimo na madaktari bingwa wa macho wamebainika kuwa na uoni hafifu, kati hao 300 wamefanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya.

  3. PRIME Wanawake hawa hupata mimba wakati wa hedhi pekee

    Kama ulidhani siku za kubeba ujauzito kwa mwanamke ni kuanzia siku ya 12 hadi ya 15, huku ukiilenga siku ya 14 kwamba ni lazima atapata ujauzito, basi umekosea.

  4. PRIME Stadi muhimu za kuwafunda watoto nyumbani

    Kwa kuwapa watoto aina hizi za stadi, kutawafanya kuhisi kuwa na uwezo zaidi katika kazi zao za kila siku na wana uwezekano mkubwa wa kujiendesha zaidi na kujisikia kuwa na udhibiti zaidi wa...

  5. Wahitimu wetu wana mawazo mbadala?

    Leo nataka kufanya tafakuri kuhusu uwezo wa wahitimu wetu kutambua na kuheshimu mawazo tofauti ya watu wengine.

  6. PRIME  Doa la CAG utoaji elimu bila malipo

    Hii si mara ya kwanza kwa ofisi ya CAG kuonyesha namna Serikali inavyosuasua kugharimia sera ya elimu inayotajwa kuwa mkombozi kwa watoto wengi wa familia masikini.

  7. Mchungaji akumbusha wajibu wa wazazi katika malezi

    Imeelezwa kuwa uwepo wa vijana waliokosa maadili mema ndani ya jamii kunasababishwa na wazazi wao kushindwa kusimamia malezi na makuzi bora kwa watoto.

  8. PRIME CAG abaini uhifadhi usio salama dawa za asili

    Picha zilizoambatanishwa na CAG zilionyesha dawa zimewekwa sakafuni kwenye mazingira yenye unyevu mwingi.

  9. PRIME Talaka ilivyoharibu ramani ya maisha ya Shuweri

    Ni miaka 15 sasa tangu aachane na matumizi ya dawa za kulevya sasa amekuwa miongoni mwa vinara wanaowanasua vijana kutoka kwenye uraibu wa dawa hizo ambazo zinagharimu na kuharibu maisha ya...

  10. PRIME KONA YA MZAZI: Asemaye mtoto amenishinda ni mzazi mzembe

    Mzazi akiwa mzembe au mwenye upungufu wa uangalizi, huenda akajikuta mtoto wake akitumbukia kwenye janga la malezi mabaya.

  11. PRIME Wanandoa kuweni kama maji na samaki, mfaidi

    Leo watu wanalishana viapo. Kesho wanavivunja na kutimuana tena kwa kashfa na aibu. Bado wanasema ni

  12. PRIME Hizi ndizo sifa wanazotaka wanaume kwa wanawake

    Mwanamke anayejua thamani yake, anayejitunza, anayezungumza kwa ujasiri, na anayejiheshimu huwa na mvuto wa kipekee

  13. Umuhimu wa kumfunza mwanao usimamizi wa fedha

    Kupitia mafunzo rasmi au yasiyo rasmi, watoto wanaweza kuelewa thamani ya pesa, tofauti kati ya mahitaji na matamanio pamoja na hatari ya matumizi ya mikopo isiyo na mpango.

  14. PRIME Umejiuliza ulionao ni watoto au mitoto?

    Mitoto, tofauti na watoto, ni dharau tunayokuwa nayo kwa watoto, tukiamini hawana uwezo, hawajielewi na hakuna kitu wanaweza kufanya tukatambua.

  15. Wataalamu wa afya waonya matumizi tiba mbadala kutibu macho

    Wataalamu wa afya wameonya jamii kuachana na matumizi holela ya tiba mbadala kudhibiti magonjwa ya macho kwa madai ya kuwa kwenye hatari kubwa ya kupata upofu wa kudumu na uoni hafifu.

  16. PRIME ‘Kaunga’ mabaki ya kuku yenye ladha, lakini hatari kiafya

    Katika maeneo ya Buguruni, Tandale na Temeke, biashara ya kaunga hufanyika, mabaki haya yakiuzwa kati ya Sh200 na Sh500 kwa fungu, huku wafanyabiashara wengine wengine wakiyatoa bure kwa wahitaji.

  17. Shahada masomo ya kichina sasa kufundishwa UDSM

    Rutinwa amesema hatua hii inakuja ikiwa tayari chuo hicho kumeshaanzishwa shahada ya awali ya ya elimu katika lugha ya kichina na kingereza.

  18. Faida sita Tanzania kushika kijiti WHO hizi hapa

    Miongoni mwa maswali yanayozunguka vichwa vya wengi ni kuhusu namna ambavyo Tanzania itanufaika, ikiwa Mtanzania atapata nafasi ya kuwa Mkurugenzi wa kanda ya Afrika, Shirika la Afya Duniani (WHO).

  19. Umuhimu watoto kupimwa kisukari mapema

    Wengi hudhani kuwa kisukari ni ugonjwa wa watu wazima tu, lakini ukweli ni kwamba watoto pia wako katika hatari ya kupata ugonjwa huu, hasa aina ya kwanza ambao huanza utotoni.

  20. PRIME Usichokijua kuhusu tahajudi kwa afya ya mwili, akili na roho

    Kuna mbinu mbalimbali za kufanya tahajudi, lakini zinazojulikana zaidi ni tahajudi ya uzingativu au umakini (mindfulness) inayohusisha umakini kuanzia kutembea, kula na hata kutafakari.