Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Umuhimu watoto kupimwa kisukari mapema

    Wengi hudhani kuwa kisukari ni ugonjwa wa watu wazima tu, lakini ukweli ni kwamba watoto pia wako katika hatari ya kupata ugonjwa huu, hasa aina ya kwanza ambao huanza utotoni.

  2. PRIME Usichokijua kuhusu tahajudi kwa afya ya mwili, akili na roho

    Kuna mbinu mbalimbali za kufanya tahajudi, lakini zinazojulikana zaidi ni tahajudi ya uzingativu au umakini (mindfulness) inayohusisha umakini kuanzia kutembea, kula na hata kutafakari.

  3. Hela ya mstaafu inapokopwa bila kurejeshwa!

    Siku chache zilizopita, macho na masikio ya mstaafu wetu ambayo uzee wake sasa huyafanya yasione wala kusikia vizuri, pamoja na kupenda kwake kuyafagilia kuwa yameona na kusikia mengi yamemfanya...

  4. PRIME Wanawake wanaopenda kubusu ndevu hatarini

    Busu kwenye ndevu zisizo safi husababisha maambukizi ya ngozi kwa wanawake, hasa kwenye midomo, mashavu, au maeneo ya karibu

  5. PRIME Ukiziona ishara hizi kapime, ni dalili za magonjwa ya ngono

    Mtaalamu wa Afya ya Jamii, Dk Ali Mzige anasema kuna dalili kadhaa zinazoashiria mtu amepata au anaishi na maambukizi ya ugonjwa mmojawapo wa ngono.

  6. PRIME Umri huu hatari kupata ugonjwa wa presha

    Presha ni maradhi yanayotokana na kuongezeka kwa msukumo wa damu katika mishipa hali inayosababisha kazi ya moyo ya kusambaza damu iwe ngumu kuliko kawaida.

  7. Hizi hapa mbinu za kukabiliana na homa ya mtihani

    Baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakifanya vibaya mitihani yao ya kishule au ya kitaifa kwa sababu tu ya hofu ya mtihani.

  8. Sababu Tanzania kuwekeza kwenye uandishi bunifu

    Hii ni sanaa inayotumia lugha kiubunifu. Ni aina ya sanaa inayotumia lugha ili kuelezea tajriba za binadamu.

  9. PRIME Tanzania inavyohitaji mfumo wa elimu mviringo

    Busara hukuzwa katika mfumo wa elimu ambao unasisitiza umuhumu wa elimu mviringo, ambayo pia hukuza busara na hekima.

  10. PRIME Kabla hujabadili tahasusi, zingatia haya

    Mwananchi linajaribu kuangazia nukta muhimu za kuzingatia kwa wanafunzi wanaotaka kubadili tahasusi na kozi, mchakato ambao Serikali inasema utakamilika Aprili 30.

  11. Hatari inayowakabili wanaume wenye matiti makubwa

    Wakati wa utafiti huo, ilibainika kuwa wale ambao wana matiti makubwa wako kwenye hatari ya kufa kabla ya kufika miaka 75 kwa sababu kinga ya mwili wao hudhoofishwa na magonjwa yanayowasibu.

  12. Aina tano za saratani zinazosumbua zaidi Kanda ya Ziwa

    Dk Mollel amesema Serikali imefanya utafiti wa kina nchi nzima kwa lengo la kusaidia kutambua saratani zinazoongoza katika Kanda ya Ziwa.

  13. Hekima, busara nguzo muhimu kwa makuzi ya mtoto

    Hivyo mzazi ukimfundisha haya yote mwanao akingali bado mdogo, ni wazi atakuwa katika mstari sahihi wa maisha.

  14. Kosa kubwa mzazi kulinganisha mtoto wako na wengine

    Mtu wa kwanza aliyetakiwa kufahamu kwamba kulinganisha haisadii ni wewe.

  15. PRIME Hii ndio shida ya mikopo kwenye biashara za kifamilia

    Ni muhimu kuwa makini katika kuchukua na kutumia mikopo ili kuhakikisha biashara inaendelea kwa uthabiti bila kuathiri ustawi wa kifamilia.

  16. PRIME Mtoto asiyependwa nyumbani hawezi kupenda

    Tuna kizazi kipya cha wazazi wanaothamini vitu kuliko kitu kingine chochote. Tunatumia muda mwingi kazini, kwenye biashara, na shughuli nyingine za kutafuta vitu.

  17. PRIME Siri wasiyoijua wanaotesa wake

    Katika ulimwengu wa kisasa ambao wanawake wanapata elimu sawa na wanaume, maoni yao hayafai kuchukuliwa kuwa duni.

  18. PRIME Wanaume sasa vinara wa umbea!

    Nakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan katika moja ya mahojiano yake aliyowahi kufanya na chombo cha habari wakati huo akiwa Makamu wa Rais aliwahi kusema: “Nasikitika kusema siku wanaume ni wambea...

  19. PRIME Heri ndoa za zamani zilizodumu kuliko…

    Wangapi wameolewa na majambazi na wauza mihadarati hata wauaji kwa vile wana mali wakaishia kujuta na wengine kuuawa? Tia akili wewe utakaye mchumba akufaaye.

  20. PRIME ONGEA NA ANTI BETTI: Natafuta mwanaume wa kunipa mimba tu, mtoto nitalea mwenyewe

    Nakushauri tafuta mwenza utakayefanya naye maisha kihalali achana na hili wazo la kutafuta mtu tu uzae naye, hili jambo limekaa Kimagharibi sana, huu si utamaduni wetu Waafrika. Jamii haitokuelewa.