1. Tamu, chungu mtoto kusoma bweni

    Tuache mjadala nani anapaswa kusoma shule ya bweni nani hapaswi. Hata mjadala wa umri wa mwanafunzi kwenda bweni unaweza kutafutiwa siku yake!

  2. Halima alivyojiandaa kuelekea Miss World Mei 2023

    Mrembo anayeshikilia taji la Miss Tanzania mwaka 2022, Halima Kopwe anatarajia kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World Mei mwaka huu, ambayo yatafanyika katika nchi za Umoja...

  3. Asha Baraka 'The Iron Lady' asiyekubali kushindwa

    Desemba 17 mwaka jana, bendi kongwe ya muziki wa dansi nchini, African Stars ‘Twanga Pepeta’ ilizindua albamu yake ya 15 ‘Twanga Pepeta Forever’ ikiwa ni miaka 24 imepita tangu kuanzishwa kwake.

  4. Je wajua kulala kifudifudi ni salamu ya heshima Nigeria

    Jambo moja linalowatofautisha binadamu na ulimwengu wa wanyama ni tabia ya kukuza mila na desturi katika kila kitu kinacho wazunguka kuanzia urembo wa kimila hadi tabia.

  5. Tunatamani kuwapenda wake zetu lakini tatizo lipo hapa

    Kufua, kuosha vyombo, kupika, kusafisha nyumba, kunyoosha nguo hizo ni kazi za kina mama. Halafu unadhani tunaoamini hivyo ni sisi wanaume tu? Wala, mbona mpaka hao wanawake wenyewe wanaamini hivyo.

  6. Simulizi ya muuza kahawa ‘smart’

    Umaridadi huficha umasikini, huu ni usemi anaoishi nao Robert Dickson (30) anayetafuta riziki kwa kutumia ubunifu wake mwenyewe.

  7. Ndani ya boksi: Wasanii na jamii tupo 'Fildi' moja na shetani

    Je, unaifahamu stori ya wimbo unaoitwa Gloomy Sunday? Uliosababisha vifo vya watu zaidi 100? Rezso Seress, aliandika mashairi ya wimbo huo, baada ya kupigwa chini na mpenzi wake. Kisha kugeuka...

  8. Wasanii na kilio cha kupigwa fedha kisasa

    Kwa zaidi ya miaka saba Harmonize hajapokea fedha yoyote ya uchapishaji na usambazaji wa muziki wake, huku zaidi ya Sh100 zikiwa zimepigwa kupitia wimbo wake ‘Kwangwaru’ aliyomshirikisha Diamond...

  9. Mazoezi yanayoboresha tendo la ndoa haya hapa

    Misuli hii iko katika kiuno ndani ambayo huipa egemeo ili kushikilia nyumba ya uzazi, kibofu cha mkojo, uke na eneo la mwisho la mfumo wa chakula.

  10. RIPOTI MAALUMU: Mbumbumbu waongezeka nchini

    Ripoti ya ya utafiti wa ufuatiliaji wa kaya (NPS) ya mwaka 2020/2021 inaonyesha kuwa asilimia 76.0 ya Watanzania wote kwa ujumla ndiyo wanaojua kusoma na kuandika.

  11. Maajabu ya shule za Mburahati na Mbagala

    Ni kilomita 5.9 kufika Shule ya Sekondari Mbagala kutoka kituo cha mabasi Mbagala Rangi tatu. Ukipanda bajaji utachangia Sh500, lakini ukipanda bodaboda utalipia Sh2,500 kufika shuleni hapo.

  12. Hivi ndivyo watoto nchini wanavyoenda shule

    Ripoti ya NPS ya mwaka 2014/2015 ilionyesha wanafunzi hao wanatumia wastani wa dakika 27.6 kufika shuleni huku muda ukiongezeka hadi kufikia dakika 29.9 mwaka 2020/2021.

  13. Ndani ya boksi: Uwoya na mkopo wa 'Sevisi' ya ndinga zake

    Miaka kadhaa nyuma. Tuliambiwa jimbo la Calfornia, lilikuwa tajiri zaidi kwa Marekani. Uchumi wake ulikuwa sawa na wa Taifa la Ufaransa na mara tisa zaidi ya uchumi wa bara zima la Afrika. Unajua...

  14. Kwa nini Bi Kidude na Kanumba hawatumii Instagram?

    Wakati nguli wa muziki wa Rege duniani, Bob Maley anafariki mwaka 1981, hakukuwa na mitandao kama Instagram, YouTube na Spotify lakini sio ajabu kumuona hii leo katika mitandao hiyo na akadiriwa...

  15. Siri wengi kukimbilia shahada za heshima

    Mjadala wa utitiri wa watu hasa wanasiasa kutunukiwa shahada za heshima umeibuka tena. Safari hii mjadala huo ulianzia bungeni hali iliyomlazimu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa...

  16. Namna ya wenza kuepuka msongo, mizozo ya ugumba

    Februari 6 mwaka huu Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alikiri changamoto ya ugumba inakua kwa kasi nchini.

  17. TUONGEE KIUME: Sisi tuko hivi, wanawake wanataka tuwe vile

    Ukweli ni kwamba, hutakiwi kujichosha kuwa mwanamume anayemtaka mwanamke hatofanikiwa. Na sio wewe tu, tangu dunia hii ianze hakuna mwanaume aliyefanikiwa kwenye hilo.

  18. Ndoto za Sh20 milioni kwa mkali wa BSS 2023

    Asagwile ambaye hupendelea kuimba nyimbo za injili, licha ya kuwa na uwezo wa kuimba aina nyingine ya muziki, anasema , “Nia yangu hasa ni kuhamasisha au kusimamia uimbaji muziki live, badala ya...

  19. Sukari ya maisha ndiyo pingu ya maisha

    Kwa mujibu wa sheria na taratibu za sehemu kubwa ya dunia ikiwamo Tanzania, ndoa ni muungano wa hiari baina ya mume na mke. Hiari yao huwapeleka mbele ya imani au sheria ili kurasimisha jambo lao.

  20. Ndani ya boksi: Wa 'Mondi nijibu nivimbe kitaa' Wanavyotengwa

    Bob naye aliwachana ‘masela lawama’ hao. Kwamba tunatafuta pesa ili tuhame huko. Sasa kama tunazisaka na kuzipata kisha tuendelee kulikita huko uswekeni. Basi hakuna haja ya kuzisaka. Yu noo?