Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Tanzania yatakiwa kuandaa wataalamu zaidi wa afya

    Wadau wa sekta ya afya wameitaka Tanzania kubadili mkakati wa kuandaa rasilimali watu katika sekta hiyo kwa kuwekeza kwa vijana, ubunifu, teknolojia na huduma za kinga ili kukidhi mahitaji ya...

  2. Wengi waliopima afya Sabasaba wakutwa na shinikizo la damu

    Zaidi ya watu 1,200 wamejitokeza kupima afya zao kwenye banda la Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) katika Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), jambo...

  3. Malezi ya mtoto wa kike zama za mababu zetu

    Nimepata bahati ya kufanya utafiti kuhusu malezi zama za mababu zetu katika bara la Afrika, nikijikita zaidi katika nchi za Afrika ya Mashariki, na zaidi sana katika kabila langu.

  4. Tuwafunze watoto ujuzi laini mapema shuleni

    Katika ulimwengu wa sasa unaobadilika kwa kasi, mafanikio ya mwanafunzi hayapimwi tena kwa alama za mitihani pekee.

  5. Sasa unaweza kubadili ‘WhatsApp voice note’ kuwa maandishi

    Watumiaji wa WhatsApp sasa wanaweza kusoma ujumbe wa sauti ‘voice note’ waliotumiwa badala ya kuusikiliza baada ya kampuni hiyo kuendelea kuboresha huduma zake kwa kuanzisha kipengele cha...

  6. PRIME Kutotambua hali za watoto kunavyoathiri elimu jumuishi

    Soma zaidi...

  7. Serikali yasisitiza masomo ya sayansi kukuza uchumi wa kidijitali

    Serikali imesema itaendelea kuwekeza katika sekta za kimkakati, hususan elimu ya sayansi, ikieleza kuwa maendeleo ya Taifa yanategemea uwepo wa wataalamu wa sayansi na teknolojia watakaoboresha...

  8. Kutendeana haki na wema si hisani kwa wanandoa

    Japo halifurahishi, ni jambo la kawaida kuona au kusikia wanandoa wakitendeana. Hutofautiana, huchukiana, husuluhishana na baya zaidi, huumizana kwa kutenzana.

  9. Mzazi unamleaje mwanao anayependa kujifunza?

    Wazazi wengi huamini mtoto atasoma vizuri endapo atasukumwa kila wakati, atawekewa ratiba kali au ataadhibiwa kila anapofanya vibaya.

  10. PRIME Unamtafutaje mke au mume bora?

    Soma zaidi hapa...

  11. PRIME Fahamu aina za watu na migogoro kwenye uhusiano

    Soma zaidi hapa...

  12. TUONGEE KIUME: Komaa kiume, acha kutafuta wachawi vijiweni

    Kuna mtindo wa ovyo sana ulioshamiri kwenye jamii yetu siku hizi, hasa miongoni mwa baadhi ya wanaume ambao kila jambo likiwaendea mrama, kimbilio lao la kwanza ni kunyoosha kidole kwa ndugu zao...

  13. Profesa Mkumbo ataka hatua zaidi kudhibiti magonjwa ya moyo

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mpango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameitaka jamii kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, akisema maradhi ya moyo yanachangia...

  14. TCU yafungua dirisha la udahili shahada ya kwanza

    Dirisha hilo limefunguliwa ikiwa ni siku chache baada ya kutoka kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka 2026 huku asilimia 99.92 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.

  15. PRIME Mambo ya kuzingatia anayejifungua kwa upasuaji

    Katika hali ambapo idadi ya kinamama wanaojifungua kwa njia ya upasuaji inaendelea kuongezeka huku muda wa kukaa hospitalini ukipungua, hitaji la mwongozo thabiti wa huduma za nyumbani limekuwa...

  16. PRIME Hatari ya kuanza siku kwa vyakula, vinywaji hivi

    Soma zaidi...

  17. Wasio na nidhamu ya usingizi hatarini kuugua magonjwa haya

    Utafiti mpya umebaini kuwa tabia ya kulala bila ratiba maalum pamoja na kupata usingizi wa chini ya saa nane kwa usiku, inaweza kuongeza hatari ya kupata magonjwa makubwa ya moyo, ikiwemo mshtuko...

  18. Wagonjwa wa kisukari, shinikizo la damu wanavyokosa uelewa wa lishe

    Utafiti umebaini kuwa zaidi ya nusu ya wagonjwa wanaoishi na kisukari, shinikizo la damu au magonjwa yote mawili nchini, hawana uelewa wa kutosha kuhusu lishe inayofaa kwa afya zao.

  19. BMH yawafanya upasuaji wa moyo kwa njia ya matundu watoto watatu

    Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanikiwa kufanya kwa mara ya kwanza upasuaji wa moyo kwa njia ya matundu kwa watoto watatu kutoka Burundi, hatua inayotajwa kuimarisha uwezo wa Tanzania...

  20. Serikali kuwakutanisha wataalamu kufanya tafiti dawa za asili

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ametangaza mpango wa Serikali kuwakutanisha wataalamu wa afya, wataalamu wa tiba asilia, wanasheria na watafiti kwa lengo la kuweka...