Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani Mara ya mwisho sensa ya aina hiyo ilifanyika mwaka 2013 iliyoonyesha idadi ya viwanda vilivyokuwepo ni 49,243 ndani yake vikiwamo vidogo kabisa, vidogo, vya kati na vikubwa.
Waziri Ulega ‘awafyatua’ watumishi mizani Ulega amesema ili kuwa na uchunguzi huru wa mwenendo wa tukio hilo, watachunguza pia mengine yanayoendelea katika mizani hiyo nchini.
Rais wa Somalia anusurika kifo bomu la Al Shabab Kundi la Al Shabab nchini Somalia limekiri kuhusika kwenye shambulio la bomu lililomlenga Rais wa nchi hiyo, Hassan Sheikh Mohamud.