Jamii ya watu wasioona kuanza kunufaika na elimu ya Lishe bora
Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) kwa kushirikiana na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wamezindua Vitabu wiwili maalumu cha ujumbe wa lishe bora kwa jamii ya watu wasioona chini.