PRIME Majaliwa aliwaweka matumbo joto wazembe na wabadhirifu Wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitangaza kuwa hatagombea tena kiti cha ubunge, aliwaweka matumbo joto wazembe na ubadhirifu.
Wakulima waomba mbegu bora kufungua soko la mchele kimataifa Wakati Serikali ikiendelea kuimarisha na kuongeza maeneo ya umwagiliaji, wakulima wa mpunga nchini wameiomba kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa mbegu bora kwa gharama nafuu ili kuongeza tija...
Watu milioni 14 wanaweza kufariki baada ya USAID kupunguza misaada Utafiti uliochapishwa kwenye jarida la The Lancet jana Jumatatu umebaini hatua ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kupunguza msaada wa kifedha inaweza kusababisha vifo zaidi...