Shahada masomo ya kichina sasa kufundishwa UDSM Rutinwa amesema hatua hii inakuja ikiwa tayari chuo hicho kumeshaanzishwa shahada ya awali ya ya elimu katika lugha ya kichina na kingereza.
PRIME Maaskofu watema nondo kuelekea uchaguzi mkuu “Vyama vingi ni sawa na kwaya zinazoimba, kila mtu aimbe wimbo wake mzuri na mtu achague aende anakotaka, hatulazimishi watu kwenda wasipotaka. Wimbo mzuri ndio unaovutia watu na waje kwako...
Watu 50 wafariki DRC boti ikiwaka moto, chanzo ni abiria aliyewasha jiko kupika Boti iliyokuwa na abiria zaidi ya 450 imezama baada ya kuwaka moto katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuua watu 50, huku mamia wengine wakiwa...
Matukio ya mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga