20 wapoteza maisha wakizama kwenye madimbwi ya mchanga, kokoto
Watu 20 wamepoteza maisha kati ya mwaka 2008 na 2023, wengi wao wakiwa watoto, kutokana na maji ya mvua kutuwama kwenye machimbo yaliyoachwa bila kurekebishwa baada ya shughuli za uchimbaji wa...