Nguvu zaidi zinahitajika ulinzi ghuba ya Chwaka Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema umefika wakati sasa kuongeza nguvu ya ulinzi katika Ghuba ya Chwaka, kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wavuvi kuendelea na uharibifu...
“Nguvu zaidi zinahitajika ulinzi Ghuba ya Chwaka” Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema umefika wakati sasa kuongeza nguvu ya ulinzi katika Ghuba ya Chwaka kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wavuvi kuendelea na uharibifu wa...
‘Tumemaliza kazi, tumebakiza kushindana na vyama vingine’ Mgombea mteule wa urais wa Zanzibar wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema wamemaliza uchaguzi wa chama wakiwa salama, hivyo kazi iliyobaki ni kujipanga kushindana na viongozi wengine kutoka...
Serikali yataja chanzo katikakatika umeme Hata hivyo, amesema Serikali inatarajia kuleta msongo mpya wa umeme wenye megawati 220 kutoka Tanzania Bara mapema mwaka huu.
‘Vijana wajengewe mikakati ya kujitambua’ Unguja. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar, Shaibu Ibrahim Mohammed, amesema ipo haja Serikali kuendelea kubuni mbinu za kuwajengea uwezo vijana, wajitambue, kujenga uchumi wao...
ZFDA yaondoa sokoni vidonge vya PED Zinc kwa kukosa sifa Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA), imeondoa sokoni dawa aina ya PED Zinc (Zinc Sulphate Dispersible Tablet) toleo namba 2203002.
Wafugaji waitwa kupatiwa chanjo ya kichaa cha mbwa bure Wakati ugonjwa wa kichaa cha mbwa ukitajwa na wataalamu kutokuwa na dawa, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa bure na kuwataka wamiliki wa wanyama hao...
Masheha sasa kuhudumia wananchi kidijitali Masheha kisiwani hapa wameanza kutumia mfumo wa kidijitali kutoa huduma kwa wananchi kwa ufanisi zaidi na kwa haraka. Mfumo huu, unaojulikana kama eDUA, ni lango kuu la utoaji wa huduma za...
Vijana kutumia vipaji vyao kujiajiri Vijana wametakiwa kuwa wabunifu kwa kuanzisha miradi mbalimbali ya kiuchumi ili kujiajiri badala ya kutegemea ajira serikalini. Wito huo umetolewa na Balozi wa Vijana Zanzibar, Mohammed Salim...
Wenye ulemavu watoa neno uandikishaji wapigakura Maryam Kkhamis amesema kuna haja kwa tume kuyasimamia makundi ya watu wenye mahitaji maalumu ili wajiandikishe kwa wepesi kwenye daftari hilo, ili kupata haki yao ya kikatiba kushiriki katika...