Kassim Majaliwa: Mwalimu aliyegeuka kiongozi wa Taifa Katika kurasa za historia ya siasa za Tanzania, jina la Kassim Majaliwa limejichora kwa wino wa uadilifu, utulivu, na uongozi unaotokana na vitendo si porojo.
TLP wamchagua Rwamugira kugombea urais 2025 TLP inaungana na vyama vingine 10 vilivyoteua wagombea wao wa urais mapema na kusubiria wagombea hao kusubiri uteuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC).