Jumamosi ndiyo inaongoza kwa Dabi ya Kariakoo Yanga inatarajia kuwa mwenyeji wa Simba mchezo ambao utakuwa ni mchezo wa 112 kwenye Ligi Kuu wikiendi hii tangu Jumatatu ya Juni 7, 1965. Yanga ilishinda bao 5-1 kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza.