Rais Samia awabadilisha tena Chande, Ulanga Zikiwa zimepita siku mbili tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye uteuzi na utenguzi uliomgusa aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Peter Ulanga leo amepangua tena...
PRIME Hekaheka za mfanyakazi wa ndani hadi dereva lori Hadi amefikia kufanya kazi hiyo, amepitia mambo mengi, aliyomsimulia mwandishi wa Jarida la Familia katika mahojiano maalumu yaliyofanyika ndani ya lori wakati wakitoka jijini Dar es Salaam...
Lilian Lema ataja mambo matatu yanayokwamisha uzazi wa mpango Mtengenezaji wa maudhui mtandaoni, Lilian Lema ametaja sababu tatu za kwanini jamii hazipendi kutumia uzazi wa mpango ikiwemo ukosefu wa taarifa sahihi.
Rais CWT aomba vyombo vya Serikali viache kuwaingilia Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Leah Ulaya amevitaka baadhi ya vyombo vya Serikali kuacha kuingilia mambo ya chama hicho na wakiache kisimame chenyewe.
Padri Soka apangua kesi ya ubakaji, mahakama yamwachia huru Katika kesi ya kwanza namba 44 ya mwaka 2022 aliyoachiliwa nayo huru, Septemba 22, mwaka huu akikabiliwa na kosa la ubakaji na ulawiti wa mtoto wa miaka 12 upande wa mashitaka ulishindwa...
PRIME Uzembe unavyoweka rehani maisha ya vichanga Licha ya umuhimu wake kwa wajawazito, baadhi hawatumii dawa ya folic asidi, hivyo kuhatarisha afya za watoto walio tumboni.
Dk Nassoro: Uzazi wa mpango ni ajenda ya Serikali Mkurugenzi msaidizi wa afya ya uzazi na mama, Dk Mzee Nassoro amesema uzazi wa mpango ni ajenda ya Serikali katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
SMZ kukabiliana upandaji bei za vyakula Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali amesema Serikali inafanya jitihada kubwa kudhibiti mfumko wa bei za bidhaa hususani vyakula huku aliwataka wafanyabiashara kutopandisha bei hizo.
Shonza aeleza sababu wananchi Songwe kumchagua Rais Samia mwaka 2025 Mbunge wa Viti Maalumu, Juliana Shonza amesema kitu pekee ambacho wananchi wa Mkoa wa Songwe watakifanya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo katika mkoa huo...
PRIME ‘Kituo cha biashara Ubungo hakitaua Soko la Kariakoo’ Serikali imesema Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kinachojengwa eneo la Ubungo jijini hapa hakitadhoofisha uwepo Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo, badala yake kitakuwa...
Tofauti ya Kajala na Paula iko hapa Paula! Na mabinti wengine wa kizazi cha miaka ya 2000. Wana tofauti kubwa na Kajala na mabinti wa kizazi cha miaka ya 1990 kushuka chini. Na tofauti yao ipo katika malezi tu.
Tofauti ya Kajala na Paula iko hapa Paula! Na mabinti wengine wa kizazi cha miaka ya 2000. Wana tofauti kubwa na Kajala na mabinti wa kizazi cha miaka ya 1990 kushuka chini. Na tofauti yao ipo katika malezi tu.
Wake za vigogo kulipwa mafao moja ya miswada mibaya kuwahi kutokea Wiki iliyopita wengi wamejua kauli ile ya Mama Salma haikuwa ya kuchangamsha Bunge tu, bali ilidhamiria kweli kuona watu wa aina yake wanapata mafao. Mtu unaweza kujiuliza, yeye na wenzake...
PRIME Hekaheka za mfanyakazi wa ndani hadi dereva lori Hadi amefikia kufanya kazi hiyo, amepitia mambo mengi, aliyomsimulia mwandishi wa Jarida la Familia katika mahojiano maalumu yaliyofanyika ndani ya lori wakati wakitoka jijini Dar es Salaam...