Mtangazaji Mbotela wa ‘Huu ni Uungwana?’ afariki dunia Mwandishi wa Habari Mwandamizi na mtangazaji wa Kenya, Leonard Mambo Mbotela, amefariki dunia kwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, tovuti ya Kenyans.co.ke imeripoti.
Mwili wa Mtukufu Aga Khan IV kuzikwa Misri Mtukufu Aga Khan (88) alifariki dunia Jumanne Februari 4, 2025, jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa na familia yake.
PRIME Nyuma ya pazia shule 11 kuboronga kidato cha nne Januari 23, 2024, Baraza la Mitinani la Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya kidato cha nne yaliyoonyesha shule 110 zilifaulu kwa kupata umahiri wa daraja A.
Trump aja na mpya, aahidi kubadili Gaza kuwa bustani ya Paradiso Kauli ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuchukua eneo la Gaza na kuibadilisha kutoka magofu kuwa bustani ya Paradiso imetajwa kuzua hofu ya kuongeza joto la mgogoro kati ya Palestina na Israel.
Sababu mazoezi kuwa muhimu kwa mjamzito Kwa kifupi, mazoezi mepesi hayana madhara kwa ujauzito katika hatua za awali yaani katika chini ya miezi mitatu au muhula wa kwanza
PRIME Kadi mbili zilizozua mijadala kwenye soka ya Simba, Fountain imo Osmani Kazi amesema kitendo cha mwamuzi Abel William kuinua juu kadi mbili ni tukio ambalo halina makosa yoyote.
Utunzaji wa mifumo ya ikolojia unavyoziwezesha jamii kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi
Mtangazaji Mbotela wa ‘Huu ni Uungwana?’ afariki dunia Mwandishi wa Habari Mwandamizi na mtangazaji wa Kenya, Leonard Mambo Mbotela, amefariki dunia kwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, tovuti ya Kenyans.co.ke imeripoti.
Jinsi siku 1000 zinavyomsaidia mtoto kumkinga na maradhi 13 Iwapo wazazi watazingatia malezi kwa siku 1000 za kwanza zitasaidia kumkinga mtoto na maradhi 13 ikiwamo kupunguza vifo vya mama na mtoto kisiwani Zanzibar. Imeelezwa
Trump aja na mpya, aahidi kubadili Gaza kuwa bustani ya Paradiso Kauli ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuchukua eneo la Gaza na kuibadilisha kutoka magofu kuwa bustani ya Paradiso imetajwa kuzua hofu ya kuongeza joto la mgogoro kati ya Palestina na Israel.
AfDB yaahidi Sh6.4 trilioni ujenzi wa miundombinu Tanzania Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeahidi kutoa Dola za Marekani 2.5 bilioni sawa na Sh6.4 trilioni, kwa ajili ya kufadhili miradi ya kipaumbele ya miundombinu nchini Tanzania.
Rungu la Fifa laigusa Taifa Stars Unaweza kusema rungu la FIFA limeigusa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ baada ya kutangazwa uamuzi wa kuifungia Congo kutokana na kosa la serikali kuingilia uendeshaji wa Shirikisho la...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Huyu ndio Justin Bieber wa Lulu Tangu kuanza kwake muziki msanii wa Canada, Justin Bieber alikuwa akiwachanganya mabinti wengi kwenye mitandao ya kijamii kutokana na mwonekano wake, huku akiwamaliza zaidi kwa wimbo wake ‘Baby’.
PRIME Faida za mboga za majani kwa watoto wanaougua ugonjwa wa kisukari Mboga za majani na matunda ni sehemu muhimu katika mlo wa kila siku, hasa kwa watoto wanaoendelea kukua na wenye kisukari.
PRIME Hiki ndicho chanzo wasichana wengi kuvunja ungo mapema Matukio ya wasichana wenye umri mdogo kupevuka (kuvunja ungo) ni ya kawaida katika miaka ya hivi karibuni.