Wabunge: Kilimo ikolojia suluhisho kwa mabadiliko ya tabianchi
Dodoma. Wadau wa sekta ya kilimo nchini, wakiwemo wabunge, wakulima na taasisi zisizo za kiserikali, wametoa wito kwa Serikali kuongeza uwekezaji katika kilimo ikolojia, wakisisitiza kuwa mfumo...