PRIME Tume ya Jaji Lila yaitwa mahakamani Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Kigoma imeitaka Serikali na makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Kijinai katika Matukio ya Ghasia za Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa...
Dk Mwinyi amteua Mansura kushika mikoba ya Zena Mansura anachukua nafasi ya aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said ambaye aliteuliwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia.
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Dk Mwinyi amteua Mansura kushika mikoba ya Zena Mansura anachukua nafasi ya aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said ambaye aliteuliwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia.
Hawa ndiyo Mawaziri Wakuu wa Uingereza waliojiuzulu Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour, lakini unafahamu viongozi waliowahi kujiuzulu nchini Uingereza katika wadhifa huo?
Haaland atupia mawili, Norway ikifuzu mtoano Kombe la Dunia Mshambuliaji Erling Haaland, ameibeba Norway ikishinda kwa mabao 3-2 dhidi ya Senegal, katika mchezo wake wa pili kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2026.
Kabla ya kifo chake Remi Ongala alipitia haya Moja ya wanamuziki nguli walioacha alama kubwa katika historia ya muziki wa Tanzania ni Ramadhani Ongala maarufu kama 'Remmy Ongala'.
AI yaanza kutumika kutengeneza chanjo za Ebola, Uviko-19, wataalamu watia neno Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikiendelea kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababisha vifo vya watu 232, matumaini mapya yanaibuka katika ulimwengu wa sayansi baada ya...