UCHAMBUZI WA SARAMBA: Watanzania tupige kelele kukemea 'ukaburu' Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kufichua kuwa mara zote alikuwa akibeba na kusoma kwa kurejea mara kadhaa Biblia Takatifu na kitabu cha Azimio la Arusha. Naamini...