ACT: Wazanzibari kuweni wamoja haki za Muungano Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Juma Haji Duni ‘Babu Duni’ amesema Zanzibar inaminywa kwenye haki za msingi katika Muungano, hivyo kuwataka Wazanzibari kuweka kando tofauti zao za...