PRIME Matukio ya wizi yaliyotikisa vituo vya polisi Matukio ya uvunjaji, wizi wa pikipiki na mifugo yanatajwa kuripotiwa zaidi katika vitu vya Polisi kwa miaka miwili mfululizo wa 2023 na 2024, Ripoti ya hali ya uhalifu ya Jeshi la Polisi inaeleza.
Wananchi milioni 2.7 wafikiwa, migogoro 5,700 ikitatuliwa kampeni ya msaada wa kisheria Unguja. Wananchi milioni 2.72 wamefikiwa na kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia huku migogoro 5,704 ikitatuliwa katika mikoa 25 nchini. Kati ya hao wanawake ni milioni 1.3 na wanaume...
PRIME Makalla alivyojitenga na uvumi wa ubunge Morogoro Ziara ya siku tano ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, mkoani Morogoro, imemtosha kujitenga na uvumi kuwa atagombea ubunge katika Jimbo la Mvomero.
Wadau wataka mbinu mpya usimamizi wa fedha Wataalamu wa usimamizi wa fedha, wamesema ni muhimu kuwepo ubunifu, mageuzi ya kimkakati na uundaji wa thamani ya muda mrefu katika usimamizi wa fedha, badala ya kutumia mbinu za jadi.
El Classico yaziwahi Liverpool, Arsenal Barcelona/Liverpool. Mechi mbili za kibabe zinapigwa leo katika ligi mbili kubwa duniani zikihusisha miamba minne ya soka, moja ikizikutanisha Barcelona dhidi ya Real Madrid na nyingine ikiwa...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Harmonize amchangia Ibrah atoke Konde Gang Baada ya kuibuka kwa malalamiko kutoka kwa msanii wa Konde Gang, Ibrah akiomba msaada kwa Watanzania wa Sh1 Bilioni ili aweze kutoka katika lebo hiyo, bosi anayemsimamia, Harmonize ameibuka na...
PRIME May Day: Siku ya Wafanyakazi isiyowahusu wastaafu! Kwa kuwa nyongeza hiyo ilitangazwa Mei Mosi – Siku ya Wafanyakazi – itawabidi wasubiri hadi mwisho wa mwezi Julai, miezi mitatu baadaye, ili kuiona nyongeza hiyo mifukoni mwao!
PRIME Umewahi kujishtaki kwa mwenza wako? Tofauti na kwenye maisha ya kawaida, mwanandoa anapomkosea mwenzake, ama anaweza kukana na kuongeza tatizo, au matatizo au kuamua kujishitaki kwa mwenzie ili wapata namna ya kushughulikia kosa...