Wadau watofautiana Chadema kutosaini kanuni za uchaguzi Aprili 4, 2025 INEC ilituma mialiko kwa makatibu wakuu wa vyama vya siasa na Serikali kukutana jijini Dodoma leo Aprili 12 kujadiliana na kusaini kanuni hizo za maadili.
Utalii wa Zanzibar washika kasi ongezeko la wageni Watalii kutoka Ulaya waliendelea kutawala taswira ya utalii Zanzibar, kwa kuchangia asilimia 71.6 ya jumla ya wageni waliowasili yaani wageni 527,845 mwaka 2024.
Wadau watofautiana Chadema kutosaini kanuni za uchaguzi Aprili 4, 2025 INEC ilituma mialiko kwa makatibu wakuu wa vyama vya siasa na Serikali kukutana jijini Dodoma leo Aprili 12 kujadiliana na kusaini kanuni hizo za maadili.
Kafulila atoa kauli wanaodhani ‘ubia ni kuuza nchi’ Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema nchi kuingia ubia na wawekezaji wa kigeni katika miradi inayotekelezwa, haimaanishi...
Simba yalamba dili nono mkataba mpya wa jezi Simba leo imetangaza kuingia mkataba wa miaka mitano na kampuni ya Jayrutty Investment wa kubuni, kuzalisha na kusambaza jezi na bidhaa nyingine zenye nembo ya klabu hiyo ambao utakuwa wenye...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Mama wa marehemu Carina aeleza magumu aliyopitia mwanaye Mama wa aliyekuwa mwigizaji Hawa Hussein ‘Carina’ amesema uvimbe tumboni ndiyo ugonjwa uliomuua mwanaye
PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Wapo wanaochekelea Chadema kujiweka kando, haya ndio madhara yake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambacho ndicho chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, hakijasaini kanuni za maadili ya uchaguzi mkuu 2025, ikiashiria hakipo tayari kushiriki...
PRIME Wanawake wanaopenda kubusu ndevu hatarini Busu kwenye ndevu zisizo safi husababisha maambukizi ya ngozi kwa wanawake, hasa kwenye midomo, mashavu, au maeneo ya karibu
Matukio ya mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga