Polisi yawaachia Heche, Mnyika na wafuasi wengine Chadema Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwakamata na baadaye kuwaachia kwa dhamana viongozi na wafuasi watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaodaiwa...
Ambulensi iliyobeba maiti yawaka moto Watu wanane waliokuwa wanakwenda makaburini kuzika pamoja na mwili wa marehemu wamenusurika kuteketea baada ya ambulensi walimokuwamo kuwaka moto.
Ndugai ajigamba na 'cleen sheet' aliyopiga 2020, ajipanga tena Mbunge wa Kongwa (CCM), Job Ndugai amesema uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 wanausubiri kwa shauku kubwa huku akijigamba kupata ushindi wa 'cleen sheet' kila chaguzi zinapofanyika ni sababu ya eneo...
Kilio chaanza kwa wauza tufaa, zabibu Marufuku iliyotolewa na Serikali kwa bidhaa za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi, imewaathiri wafanyabiashara wa tufaa (apple) na zabibu jijini Dar es Salaam.
Refa Stellenbosch, Simba abadilishwa ghafla Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya ghafla ya refa wa mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Stellenbosch na Simba itakayochezwa...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Afya ya Jose Chameleone yaimarika, atarajia kurudi kazini Mwanamuziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone anatarajia kufanya show kwa mara ya kwanza baada ya kutoka kwenye matibabu nchini Marekani.
Tusipowekeza kwenye elimu tunajihujumu wenyewe Elimu huongeza maarifa, ujuzi, na uwezo wa mtu binafsi na taifa kwa ujumla.
PRIME Mbunge akosoa elimu vyuoni, ahoji taaluma zisizo na soko Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha amesema mfumo wa elimu ya vyuo vikuu nchini, una kasoro na bila kuzitafutia ufumbuzi hajui Taifa linaelekea wapi.
Matukio ya mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga