Wajifungia kujadili mikakati ya kupambana na ukatili wa kijinsia
Tukio hilo limewakutanisha wanafunzi, walimu, wazazi, viongozi wa Serikali, maafisa elimu, maafisa ustawi wa jamii, maafisa maendeleo ya jamii, Dawati la Jinsia na Watoto la Jeshi la Polisi...