Moshi ‘yasimama’ mamia ya wakazi wakimuaga Bosco Chuwa Mwili wa mfanyabiashara maarufu wa Moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro, Bosco Chuwa (67), leo Alhamisi Julai 9, 2026, umezungushwa katika baadhi ya barabara za katikati ya mji huo, ikiwa ni sehemu ya...
Askofu Bagonza: Serikali ni mali ya wananchi Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza amesema ujenzi wa taifa lenye misingi imara ya demokrasia unapaswa kuanzia katika kubadili mtazamo...
Askofu Bagonza, Profesa Kinyondo wataja kinachowaweka vijana mbali na siasa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza amesema vijana nchini wanakosa fursa ya kushiriki kikamilifu katika siasa kutokana na mazingira...
Yanga, Simba kukutana Agosti 12 Ngao ya Jamii Wakati Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025-2026 ikichezwa kwa siku 286 kuanzia Septemba 17, 2025 hadi Juni 30, 2026, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kwamba, msimu ujao wa...
Hanlink Mobility: Gwiji wa usafirishaji Afrika Mashariki atua Tanzania, aahidi mapinduzi ya viwanda na ajira
Watu Credit (Tanzania) Limited yaadhimisha miaka mitano ya ujumuishaji wa kifedha, ikiwezesha mikopo ya zaidi ya Sh 700 bilioni
Askofu Bagonza: Serikali ni mali ya wananchi Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza amesema ujenzi wa taifa lenye misingi imara ya demokrasia unapaswa kuanzia katika kubadili mtazamo...
Sababu ongezeko la watu kuwekeza masoko ya mitaji zatajwa Mazingira wezeshi na shirikishi yanayotolewa na serikali, yameelezwa kuwa ni moja ya sababu ya ongezeko la watu kuwekeza katika masoko ya mitaji na dhamana hapa nchini.
Job, Kibwana, Mshery watoa msaada wa madawati, vifaa vya shule Wachezaji wa Yanga, Dickson Job, Kibwana Shomary na Abuutwalib Mshery wametoa msaada wa madawati 200, madaftari 3000, mabegi katika shule ya Msingi Kilonga.
Tyla avunja ukimya kuhusu tetesi za kujiunga Roc Nation Mwanamuziki anayefanya vizuri katika soko la kimataifa, Tyla, amekanusha uvumi uliokuwa ukisambaa kwa siku kadhaa ukidai kuwa amesaini mkataba wa mamilioni ya dola na kampuni ya Roc Nation...
BMH yawafanya upasuaji wa moyo kwa njia ya matundu watoto watatu Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanikiwa kufanya kwa mara ya kwanza upasuaji wa moyo kwa njia ya matundu kwa watoto watatu kutoka Burundi, hatua inayotajwa kuimarisha uwezo wa Tanzania...