Mradi wa Sh529.5 milioni wa Shule ya Msingi Nduli wakamilika, kunufaisha wanafunzi 820
Katibu wa NEC wa CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amepongeza utekelezaji wa mradi huo akisema unaonyesha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha sekta ya elimu nchini.