Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

245 results for Happiness Tesha :

  1. Mawakili wadai washitakiwa wawili hawahusiki tuhuma za utakatishaji fedha

    Kesi hiyo imefika leo katika Mahakama ya Wilaya Kigoma kwa ajili ya kutajwa mbele ya Hakimu Mfawidhi Hassan Momba

  2. Mvua yabomoa nyumba 140 Kigoma

    Zaidi ya wananchi 250 wa Kata ya Herembe Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma hawana mahala pa kuishi baada zao nyumba 140 kuezuliwa na upepo, kubomoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo.

  3. Majeruhi ajali Kigoma wapelekwa Bugando

    Majeruhi wa watatu wa ajali iliyotokea barabara ya Kibondo-Kakonko iliyohusisha gari aina ya Toyota Probox lililogongana na gari ya kampuni ya ujenzi ya barabara ya Chiko, wamepewa rufaa kwenda...

  4. Wanane wafa, sita wajeruhiwa ajalini Kigoma

    Watu wanane wamefariki dunia akiwemo mtoto wa umri wa mwaka mmoja na nusu na wengine sita wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili katika Barabara ya Kibondo-Kakonko mkoani Kigoma.

  5. Likizo ya Hakimu yakwamisha kesi ya DED na wenzake 10 Kigoma

    Pamoja shtaka la kutakatisha fedha, wanashtakiwa hao pia wameshtakiwa kwa makosa ya kula njama kwa nia ya kutenda kosa, kugushi nyaraka, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali...

  6. ‘Kaweni waadilifu na Wazalendo’

    Mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengeye amewataka wahitimu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kampasi ya Kigoma, kuwa waadilifu na wazalendo katika kazi zao wanapoenda kuitumikia...

  7. Wananchi Kigoma waomba ukarabati meli tatu uwahishwe

    Wakazi na wafanyabiashara wa Mkoa wa Kigoma wameomba kukamilishwa kwa wakati ukarabati wa Meli ya Mv Liemba, Mv Mwongozo na Mt Sangara inayobeba mafuta kutoka Tanzania kwenda nchi za jirani ili...

  8. Wataka sheria kudhibiti uharibifu mazingira

    Wananchi Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma wameomba sheria zitungwe kudhibiti uharibifu wa mazingira ikiwa ni pamoja na ukataji miti, uharibifu vyanzo vya maji na uchomaji misitu hasa kipindi cha...

  9. DED Igunga asota mahabusu watano wakiachiwa kwa dhamana

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kigoma imewaachia huru kwa masharti ya dhamana washtakiwa wa tano kati ya 11 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa 11 huku, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya...

  10. Utafiti mbegu za kahawa zitakazo stahimili ukame waanza

    Taasisi ya Utafiti wa Kahawa Tanzania (TaCRI) inafanya utafiti wa aina nne za mbegu za kahawa zitakazo stahimili ukame.

Previous

Page 5 of 25

Next