1. Mjane alivyokuza kipato kupitia mpango wa kidigitali kutoka Yara Tanzania

    Mpunga ni miongoni mwa zao muhimu la chakula hapa nchini na limekuwa likilimwa zaidi katika mikoa ya Mbeya, Morogoro, Shinyanga, Mwanza na baadhi ya maeneo katika Mkoa wa Kilimanjro.

  2. Tanzania na Japan: Balozi wa Japan aangazia urafiki na ushirikiano wa muda mrefu

    Wakati tukisherehekea siku ya kuzaliwa ya Mfalme, hebu tufanye tafakuri ya urafiki kati ya Japan na Tanzania ambao umeendelea kuimarika kwa miongo kadhaa, pamoja na mustakabali wetu.

  3. Mugalla: Upatikanaji wa haki za kijamii ni kazi endelevu

    Ukurasa mpya umefunguliwa kwa ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kumpata Mkurugenzi Mkaazi mpya wa Shirika la Kazi Duniani (ILO), Bi Caroline Khamati Mugalla ambaye atakuwa akisimamia shughuli...

  4. Waziri Mkuu azindua Chuo cha CUoM baada ya kupandishwa hadhi na TCU

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kukipandisha Chuo Kikuu cha Katoliki Mbeya (CUoM) kinachomilikiwa na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC).

  5. Salamu za Mwaka Mpya za Balozi wa China nchini Tanzania

    Muda unavyokwenda haraka! Mwaka 2024 unakuja kama ilivyopangwa. Kwa niaba ya Ubalozi wa China nchini Tanzania, napenda kutoa salamu zetu za dhati na kuwatakia heri ya mwaka mpya Wachina wenzangu...

  6. Mazingira bora kwa wafanyakazi yaibeba East-West Seed tuzo za mwajiri bora

    Tuzo ni njia muhimu ya kutambua na kuthamini mafan¬ikio katika maeneo mbalimbali ya maisha yetu. Inaweza kuwa ni kwenye sanaa, michezo, sayansi, au hata maendeleo ya kijamii. Tuzo hutoa motisha...

  7. Uwekezaji wa Carbon Tanzania katika misitu ya asili na safari  kuelekea kwenye utunzaji misitu endelevu

    Tanzania kwa sasa iko katika safari ya mabadiliko kuelekea maendeleo endelevu ikiwa na mipango mipya ya soko la kaboni. Mdau muhimu katika safari hii ni Carbon Tanzania, Kampuni inayoongoza...

  8. Ushiriki wa Repoa katika mnyororo wa thamani kuongeza uzalishaji, upanuzi wa viwanda na biashara

    Maana halisi ya uwezo wa uzalishaji na ukuaji wa uzalishaji kutoka kwenye mashirika/taasisi husika za kimataifa: Michakato ya kukuza uwezo wa uzalishaji kwa ajili ya upanuzi wa viwanda na...

  9. Majadiliano ya COP28 yadhamiria kuziwezesha jamii za asili ustawi na maendeleo

    Katika harakati za kuleta mabadiliko chanya na uwezeshaji wa kifedha kwa wananchi wake, Serikali ya Tanzania imetengeneza ushirikiano wa kimkakati na taasisi za ndani na za kimataifa.

  10. Smart Gin inaunga mkono juhudi za kukuza uchumi kupitia ulipaji kodi

    Kodi ni msingi wa maendeleo ya Taifa kwa sababu ndizo zinazotumika katika kutengeneza ustawi wa Taifa kwa kuboresha huduma za jamii na miundombinu.

  11. Miaka 25 ya Britam Tanzania kuongoza kwa ubunifu, upatikanaji wa Bima

    Britam Insurance Tanzania katika kuadhimisha miaka 25, inaonekana kuwa kielelezo cha ubunifu katika utoaji wa huduma za bima.

  12. Protastructure kufungua ofisi Tanzania, haya ndiyo wahandisi wa ujenzi wanapaswa kuyafahamu

    Katika hatua muhimu ya kuboresha sekta ya uhandisi nchini, Prota Software, kampuni ya Uturuki ya kutengeneza programu tumishi za kompyuta, imetangaza kufungua ofisi zake jijini Dar es Salaam...

  13. Tanapa, Carbon Tanzania kushirikiana katika mradi mkubwa wa kaboni Afrika Mashariki

    Shirika la Hifadhi za Taifa za Tanzania (TANAPA) na Carbon Tanzania (CT) wamesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kihistoria yenye lengo la kutekeleza mradi wa kaboni katika hifadhi sita za Taifa.

  14. CAPS Limited: Chaguo sahihi la huduma za vyoo vya kukodi, viuatilifu vya kuangamiza visumbufu

    Nyumba ni choo! Huu ni usemi ambao hutumika mara nyingi ukiangazia umuhimu wa choo bora na huduma za usafi nyumbani.

  15. Azam Pesa kuleta mapinduzi katika ujumuishaji, uhuru wa kifedha

    Ukuaji wa sekta ya fedha katika miaka kadhaa iliyopita kumesaidia ukuaji wa uchumi wa Taifa na mtu mmoja mmoja kwa maana ya idadi ya wanufaika wa mnyororo wa thamani wa sekta hiyo.

  16. TADB, Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuleta mapinduzi ya uchumi wa buluu

    “Kikundi chetu cha Nguvu Kazi Group Mtandi kina wanachama kumi na tano (15) ni kikundi cha kijamii (Community Based Organization). Tumekua tukitumia mitumbwi ya kawaida ya mbao kwa muda mrefu.

  17. Wachumi walivyopendekeza maeneo muhimu kukuza uchumi

    Baadhi ya wachumi wamependekeza maeneo kadhaa kukuza uchumi wa Tanzania ambayo ni; kuendeleza rasilimali watu, kubadilisha muundo wa uzalishaji, kuirasimisha sekta isisyo rasmi, pamoja na...

  18. Azam Pay imeleta mapinduzi katika huduma za malipo za kidijitali

    Teknolojia ya huduma za kifedha kwa njia ya kielektroniki imesaidia kwa kiasi kikubwa kuendesha uchumi katika kufanikisha maendeleo kwa ujumla.

  19. Carbon Tanzania yakabidhi Sh 4.7 bilioni kwa serikali za mitaa, jamii

    Ili kuleta manufaa kwa wananchi wake na kuwawezesha kujikwamua kiuchumi Serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi mbalimbali za ndani na nje ya nchi.

  20. Kuimarisha ukuaji endelevu na jumuishi kupitia mabadiliko ya kimuundo

    Mpango wa sasa wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano - 2021/22-2025/26 -umeweka kipaumbele katika maendeleo ya viwanda na huduma katika kutekeleza malengo ya maendeleo ya Tanzania ya kufikia...