Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Vinara 16 wa kupinga ukatili wa kijinsia nchini wapokea tuzo

    Tuzo hizo ambazo lengo lake ni kutambua na kuheshimu uvumbuzi, ubunifu na juhudi za watu, mashirika na jamii ambao wamechukua hatua kubwa za kupambana na ukatili wa kijinsia zilitolewa katika...

  2. Choplife Gaming Limited na usukani wa maendeleo ya michezo ya kubahatisha Tanzania

    Hivi karibuni, Choplife Gaming Limited ilipokea tuzo ya “Mlipa kodi Mkubwa wa Ujumla” kwa ukanda wa Mashariki nchini kutoka kwa waandaaji, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

  3. SBL kinara wa uzalishaji vijana wenye ujuzi sekta ya utalii, hoteli nchini

    Wanafunzi wasomao kozi ya huduma za hoteli katika Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) wanatarajiwa kuanza mafunzo ya ziada ya nguvu ya miezi mitatu kutoka Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL).

  4. STARPECO: Lami baridi ni suluhisho la maendeleo ya miundombinu ya barabara nchini

    Miaka 18 iliyopita, iliza¬liwa kampuni ya kwanza ya Kitanzania inayozalisha lami baridi (Bitumen Emul¬sion) ijulikanayo kwa jina la STARPE¬CO, wakati kama Taifa bado tunaendelea kutumia...

  5. Utunzaji wa mifumo ya ikolojia unavyoziwezesha jamii kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi

    Mabadiliko ya tabianchi ni moja ya changamoto kubwa zinazoikumba dunia leo. Matokeo yake ni kama vile kuongezeka kwa joto la dunia, kuyeyuka kwa barafu, kuongezeka kwa kiwango cha bahari na...

  6. Kwa nini ujiunge na familia yaSimBanking, miamala kidijitali

    Katika watu wazima zaidi ya asilimia 65 wanaotumia huduma za benki nchini, ni wateja wa Benki ya CRDB pekee wanaofurahia ura¬hisi wa Programu ya Sim¬Banking ndiyo wanatambu¬lika duniani. Ndio...

  7. Mabilioni ‘Samia Infrastructure Bond’ kuchochea maendeleo ya barabara nchini

    Hatua ya Benki ya CRDB kuzindua Hatifungani ya ‘Samia Infrastructure Bond’ inatarajiwa kuongeza kasi ya mwenendo wa utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara nchini kote.

  8. Mkulazi yaanza kwa kishindo

    Kiwanda hiki kimeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya sukari nchini kwani kina uwezo wa kuzalisha tani 50,000 za sukari ya kawaida na sukari ya viwandani kwa mwaka.

  9. Bonite Bottlers yang’ara Tuzo za 18 za Rais za Mzalishaji Bora Viwandani

    Bonite Bottlers, ambayo ni maarufu kwa uzalishaji wa vinywaji kama maji ya kuny­wa ya Kilimanjaro, soda za Coca-Cola na jamii yake, na vinywaji vingine visivyo na kilevi, imekuwa ikitambuliwa kwa...

  10. Benki ya CRDB na miaka minne ya huduma bora za wakala wa benkibima nchini

    Dar es Salaam. Benki ya CRDB, mwaka huu, inasherehekea miaka minne ya utoaji huduma za waka­la benkibima tangu ilipopatiwa leseni na Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (TIRA) mwaka 2021. Benki...

  11. Vyoo bora, maji safi na usafi wa mazingira ni msingi wa ustawi wa afya ya jamii

    Upatikanaji wa vyoo bora na maji safi na salama kunatajwa kama moja ya huduma bora ambazo binadamu anazihitaji katika mazingira yake ili kuweza kujikinga na magonjwa mbalim­bali ya kuambukiza.

  12. TotalEnergies kukidhi kiu ya Watanzania katika matumizi ya nishati safi ya kupikia

    Dar es Salaam. Wakati dunia ikipata msu¬kumo mkubwa wa kuhamia katika matumizi ya nishati safi, kampuni ya TotalEnergies ilishachanga karata zake vyema. Ikiwa na uelewa na uongozi wa soko...

    New Content Item (1)
  13. Benki ya CRDB yasaini mkataba wa Dola 320 milioni na DFC, Citi kusaidia wajasiriamali Tanzania na Burundi

    Benki ya CRDB imengia makubaliano ya mkopo wenye thamani ya Dola za Marekani Milioni 320 na Shirika la Fedha la Kimataifa la Marekani (DFC) na Citibank ili kuimarisha uwezo wake wa kutoa mikopo...

  14. GGML yatoa Sh200 milioni kudhamini Maonyesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita

    Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini Tanzania kwa mara nyingine tena, kwa...

  15. Sababu 10 1xBet kuwa chaguo bora kwa Watanzania

    Dar es Salaam. Michezo ya Kubashiri nchini Tanzania inazidi kuwa maarufu, na ni muhimu kwa wachezaji kuchagua mtandao unaotoa masharti bora zaidi. 1xBet ni kampuni maarufu ya kimataifa ya Michezo...

  16. Strategis insurance yaungana na Vitality Health International kuhamasisha mtindo bora wa maisha kiafya

    Strategis insurance yaungana na Vitality Health International kuhamasisha mtindo bora wa maisha kiafya.

  17. DMG na mkakati wa kuleta mapinduzi katika sekta ya bahari nchini

    Bahari ni rasilimali muhimu katika kukuza uchumi, husas­ni kwa nchi zilizo na mwam­bao. Kuna sekta nyingi zin­azotegemea bahari moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja kama vile uvuvi...

  18. TARURA inavyojipambanua katika ujenzi, ukarabati wa barabara

    Sekta ya barabara ni moja ya nguzo kuu katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya nchi yoyote. Barabara, kama njia kuu za usafiri, zina mchango mkub­wa katika kuunganisha mae­neo tofauti...

  19. AD. NAFASI ZA KAZI

    JOB VACANCY Title: Nutritionist Schedule: Full-Time Division: Program Working Group: Global Program (GP) Reports to: Tanzania National Director Ministry Function: The Nutritionist supports...

  20. WaterAid Tanzania: Huduma za maji safi, usafi wa mazingira katika vituo vya afya suluhisho la afya na ustawi bora wa watu

    Kuelekea katika Mkutano wa Zama Zijazo unaotaraji wa kufanyika kwa siku mbili (Septemba 22-23, 2024), ambao ni kikao cha ngazi ya juu cha Umoja wa Mataifa, nchi wanachama walikubali ana...