1. Nida inavyoibeba dhana ya ‘utambulisho kwa wote’ mabegani

    Kila ifikapo Septemba 16, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Utambulisho. Siku hii ni maalumu kwa ajili ya kukuza uelewa kuhusiana na umuhimu wa kuwa na utambulisho wa rasmi kwa watu wote.

  2. CRDB: Hii ndiyo nguvu ya ‘buku’ katika vyombo vya moto na afya

    Wamiliki wa vyombo vya moto hususan bajaj na bodaboda wame-kuwa wakiishi kwa mashaka muda wote kutokana na ajali za mara kwa mara dhidi ya mali zao wakati huo huo wanashindwa kumudu gharama kubwa...

  3. Ubunifu, ubora wa bidhaa na utoaji huduma kwa wakati vinavyoipaisha GSM

    GSM Group ni miongoni mwa kampuni kubwa Tan­zania, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla ambayo imekuwa ikigusa maisha ya mamia na maelfu ya watu kutokana na ubora wa bidhaa na huduma inazotoa.

  4. Mwaka mwingine wa mafanikio kwa Braeburn International School Arusha

    Nimefundisha kwa miaka mingi na nadhani bado nitaendelea kuwa na wasiwasi zaidi ya wanafunzi wa kizazi hiki walio nao hivi sasa katika kusubiria matokeo ya mitihani yao.

  5. Kijani Bond ya CRDB: Uwekezaji rafiki kwa mazingira unaokupa faida ya asilimia 10.25

    Kutoka kwenye kutenga asilimia moja ya faida yake kwa ajili ya kuwezesha utekelezaji wa miradi ya mazingira, kuzindua program kwa ajili ya kuwezesha miradi ya uhimilivu na kukabiliana na...

  6. Kufungua milango ya uzazi: Mwongozo wa kina wa upandikizaji mimba

    Utasa ni safari ngumu zaidi kuipitia kwa wanandoa au watu wenye mahusiano, iliyojaa milima na mabonde. Katika miaka ya hivi karibuni, maendeleo yaliyopigwa katika sayansi ya tiba yameamsha...

  7. Madini ya Tanzanite yanavyomnufaisha Bilionea Laizer na jamii

    Mchimbaji maarufu wa madini ya Tanzanite wa mji mdogo wa Mirerani wilay­ani Simanjiro mkoani Man­yara, Bilionea Saniniu Laiz­er amejenga ghala kubwa la kuhifadhi gunia 6,000 za mazao.

  8. Franone Mining and Gems LTD (FMG) yasaidia jamii Simanjiro

    Kampuni ya Franone Mining & Gem Ltd (FMG) inayochimba madini ya Tanzanite kwenye kitalu C na D, inamilikiwa na wawekezaji wazawa.

  9. Serikali ya awamu ya sita inavyofanya mapinduzi katika ujenzi, ukarabati wa barabara Manyarakatika Manyara

    Uimarishwaji wa miundombinu na uboreshaji wa sekta ya usafiri ni baadhi ya mihimili inayopewa umuhimu nchini katika kuleta maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla hasa katika kipindi hiki...

  10. Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mirerani inavyorahisisha shughuli za uchimbaji

    Ofisi ya Afisa Madini Mka­zi (RMO) Mirerani inayo­hudumia Wilaya ya Siman­jiro inafanya shughuli zake ambapo madini yanayopa­tikana ni Tanzanite, Graph­ite, Marble, Green Garnet, Ruby, Rhodolite,...

  11. Wakulima, wataalam wakaribisha maonyesho ya Yara Kilimo Expo wakisema ni shirikishi na yamekuja wakati mwafaka

    Maonyesho ya Kilimo ya Yara 2023 yaliyoanza Jumatatu yamewawezesha wakulima kukutana na kufanya mazungumzo na wataalam katika sekta ya kilimo, huku washiriki wakiyapokea maonyesho hayo kwa mikono...

  12. FAO, TPHPA zafanikiwa majaribio ya kubadilishana kwa ‘ePhyto’

    Kama ulikuwa unashangaa, neno ‘ePhyto’ linawakilisha Cheti cha Elektroniki cha Afya ya Mimea na Usalama wa Chakula. Cheti hiki ni hati inayokwenda sambamba na shehena ya bidhaa za kilimo...

  13. TFC yajivunia mafanikio makubwa kufikisha mbolea kwa wakulima

    Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) ni taasisi ya Serikali chini ya Wizara ya Kilimo ambayo inahusika kusambaza na kuuza aina zote za pembejeo nchini.

  14. DMA na teknolojia katika kilimo biashara chini ya nguvu kazi ya vijana

    Digital Mobile Africa (DMA) ni kampuni ya kiteknolojia ya kifedha iliyojikita katika kilimo biashara inayoendelea kuchangia ukuaji katika sekta ya kilimo nchini Tanzania. DMA inawawezesha...

  15. Benki ya PBZ yaibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam

    Benki ya Watu wa Zanzibar Limited (PBZ Bank) ndiyo benki kongwe zaidi nchini yenye miaka 57 iliyoanzishwa Juni 30, 1966.

  16. Premier Bet Tanzania yaendelea kutoa burudani

    Michezo ya kubahatisha imekuwa burudani kubwa ambayo mbali na kuwafanya watu wafurahi lakini pia imekuwa ikiwapatia vipato pale inapotokea mtu ameshinda ubashiri wake.

  17. Carbon inavyosaidia jamii za Kitanzania kutengeneza pesa

    Utunzaji wa misitu una manufaa chanya ya kiuchumi, kijamii na kimazingira kwa jamii za kitanzania huku ikisaidia katika ulinzi wa bayoanuwai muhimu. Pia huchochea maendeleo endelevu kwa kupunguza...

  18. World Vision Tanzania na miaka zaidi ya 40 ya huduma bora za afya za watoto

    Siku ya Afya Duniani (WHD), inayoadhimishwa kila mwaka Aprili 7, inaadhimisha kum­bukumbu ya kuanzishwa kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 1948 na kila mwaka huangazia masuala mahususi ya...

  19. Benki ya CRDB na miaka 2 ya kuliwezesha Taifa

    Miaka miwili ya Rais Samia imebeba matumaini makubwa kwa Watanzania kwa namna amepambana kuhakikisha maisha ya Watanzania yanaimarika katika nyanja zote.

  20. Mikakati ya TFS katika kulinda na kusimamia rasilimali za misitu nchini

    Rasilimali za misitu ni eneo mojawapo lenye vivutio vya utalii vinavyotumika kwa ajili ya utalii ikolojia, utafiti, buru¬dani za kutembea, kuendesha baiskeli na mapumziko.