Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Kisa mvua AFCON 2023 yasogezwa 2024

FAINALI za Mataifa ya Afrika (AFCON) zilizotarajiwa kufanyika mwakani nchini Ivory Coast zimeahirishwa rasmi na kupangwa kufanyika Januari 2024 nchini Ivory Coast.

Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika CAF, Patrice Motsepe  amethibitisha hilo akitaja sababu kuu ya kusogezwa mbele  kwa mashindano hayo ni kutokana na  mvua kubwa zinazoweza kunyesha Juni-Julai, 2023.

Kamati ya Utendaji ya CAF imekutana Rabat, Morocco leo imefikia makubaliano ya kurejesha fainali ya Ligi ya Mabingwa kucheza kwa mfumo wa nyumbani na ugenini huku pia michuano ya Super Cup ikitarajiwa kutimua vumbi Agosti 2023.