Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Vinywaji vya kusisimua tatizo jipya nchini

Vinywaji vya kusisimua tatizo jipya nchini

Muktasari:

  • Katika siku za karibuni kumeibuka matumizi yaliyokithiri ya vinywaji vya kusisimua huku wengine wakichanganya vinywaji hivyo na dawa.

Dar es Salaam. Katika siku za karibuni kumeibuka matumizi yaliyokithiri ya vinywaji vya kusisimua huku wengine wakichanganya vinywaji hivyo na dawa.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini watu wanaofanya shughuli kama udereva, ukondakta, wanamichezo, watu wanaofanya kazi za nguvu, wamekuwa watumiaji wakubwa wa vinywaji hivi bila kujali kiwango kinachoelekezwa na watengenezaji.

Kinywaji hiki ambacho ndani yake kina kemikali inayosisimua `Caffein’, kitaalamu mtu hashauriwi kutumia chupa zaidi ya mbili kwa siku hata hivyo, watumiaji wake baadhi wamekuwa wakitumia zaidi hivyo kuwa katika hatari ya kupata matatizo zaidi ya kiafya.

Habari kamili jipatie nakala yako ya Mwananchi leo.