Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Haya hapa majina waliopita usaili TRA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya watu waliopita katika usaili wa kuandika na hivyo kuitwa kwa ajili ya kufanya usaili wa mazungumzo.


TRA imetangaza majina hayo jana usiku Jumamosi Aprili 26, 2025.

Pia mamlaka imesema ratiba ya usaili wa mahojiano na vitendo itatolewa Aprili 29, 2025 kupitia tovuti ya Mamlaka.