Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mr Nice ndani ya Bongo Fleva Honors 2024

Muktasari:

Mkurugenzi wa Tamasha la Bongo Fleva Honors, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amesema msimu wa pili wa tamasha hilo utaanza Januari 26, 2024

 Mwanamuziki wa Hip-Hop ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tamasha la Bongo Fleva Honors, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, jana Januari 15, 2024 ametangaza ujio wa msimu wa pili wa tamasha, huku ndani akiwamo mwanamuziki Lucas Mkenda (Mr Nice).

Sugu amesema msimu wa pili wa tamasha hilo utaanza Januari 26, 2024 na Nice kuwa ndiye atafungua kwa mwaka huu. Msimu wa kwanza ulianza Januari 2023 na kumalizika Novemba, 2023.