PRIME Sakata la Makonda, Gambo lachukua sura mpya Gambo aliposimama kutoa salamu katika mkutano huo wa hadhara, alimtaja Dk Biteko na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, akiwasifia kwa utendaji kazi na uchapakazi wao.
Serikali yaondoa zuio la mazao Malawi, Afrika Kusini Kufuatia zuio hilo, Serikali za Malawi na Afrika Kusini zimewasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Kilimo za Tanzania ili kuweza kutafuta suluhisho la...
Samia: 4R zisiwe kigezo kuvunja sheria Amesema mwaka wa 61 wa Muungano umeangukia katika uchaguzi mkuu, ni matumaini yake sifa ya nchi itaendelea