Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu (kushoto) akisalimiana na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana walipokutana leo Jumatatu Machi 10, 2025 katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam kumuaga Profesa Philemon Sarungi.