Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo ya gazeti linalopatikana kwa uhakika Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Rosalynn Mndolwa-Mworia (wa pili kulia) katika hafla ya utoaji wa tuzo za Samia Kalamu Awards iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam.