Mitambo yote tisa ya kufua umeme katika mradi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) imekamilika na sasa kuanza kufua umeme kwa uwezo wake wote wa megawati 2,115.
Bwawa hili lina jumla ya mitambo tisa, kila mmoja ukiwa na uwezo wa kuzalisha megawati 235, na hivyo kufikia jumla ya megawati 2,115.