Hii hapa orodha kamili waliopenya ubunge, uwakilishi CCM
Dodoma. Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imetangaza majina ya mwisho ya wagombea ubunge na wawakilishi kupitia chama hicho kwa majimbo ya Tanzania Bara na Zanzibar, pamoja na viti maalum kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Katika kikao chake kilichofanyika Agosti 23, 2025, NEC imepitisha majina ya wagombea watakaosimama majimboni kote nchini, sambamba na wawakilishi wa viti maalum kwa makundi maalum ya kijamii.
Kwa mujibu wa taarifa ya CCM, uteuzi huo umezingatia mchanganyiko wa uzoefu, uwezo wa kisiasa, na uwakilishi wa makundi mbalimbali ili kuhakikisha chama kinabaki na ushindani katika uchaguzi huo.
Hii hapa orodha kamili ya walioteuliwa mkoa kwa mkoa:
MKOA WA ARUSHA
1. Paul MAKONDA - Arusha Mjini
2. Dk Johannes LUKUMAY - Arumeru Magharibi
3. Daniel Awack TLEMAH - Karatu
4. Dk Steven KIRUSWA Longido
5. Joshua NASSARI - Arumeru Mashariki
6. Isack COPRIAO -Monduli
7. Yannick NDOINYO - Ngorongoro
DAR ES SALAAM
- Haran Nyakisa SANGA- Kigamboni
- Angellah KAIRUKI- Kibamba
- Pro Alexander Kitila MKUMBO - Ubungo
- Mariam KISANGI - Temeke
- Abdallah CHAUREMBO - Chamazi
- Kakulu KAKULU - Mbagala
- Geofrey TIMOTH - Kawe
- Abbas Tarimba - Kinondoni
- Mussa Azzan ZUNGU - Ilala
- Jerry SILAA- Ukonga
- Bonnah KAMOLI - Segerea
- Dougras MASABURI - Kivule
DODOMA
- Kenneth NOLLO - Bahi
- Deogratius John NDEJEMBI - Chamwino
- Livingston LUSINDE - Mvumi
- Kunti Yusuph MAJALA - Chemba
- Paschal CHINYELE - Dodoma Mjini
- Antony MAVUNDE - Mtumba
- Ashatu KIJAJI - Kondoa Vijijini
- Mariam MZUZURI - Kondoa Mjini
- George MALIMA - Mpwapwa
- George SIMBACHAWENE- Kibakwe
- Isaya Marugumi Kongwa
GEITA
- Dotto BITEKO - Bukombe
- Jafar SEIF - Busanda
- Cornel MAGEMBE - Chato Kaskazini
- Pascal LUTANDULA - Chato Kusini
- Chacha WAMBURA - Geita Mjini
- Musukuma Joseph KASHEKU - Geita
- Kija NTEMI - Katoro
- Fagasoni NKINGWA - Mbogwe
- Hallen AMAR- Nyang’wale
IRINGA
- Fadhili NGAJILO - Iringa Mjini
- William LUKUVI - Ismani
- Jackson KISWAGA - Kalenga
- Dk Ritta KABATI Kilolo
- Dickson LUTEVELE- Mafinga Mjini
- David KIHENZILE- Mufindi Kusini
- Exaud KIGAHE - Mufindi Kaskazini
KAGERA
- Ezra John CHIWELESA - Biharamulo Magharibi
- Johansen MUTABINGWA - Bukoba Mjini
- Jasson RWEIKIZA - Bukoba Vijijini
- Innocent BASHUNGWA - Karagwe
- Khalid NSEKELLA - Kyerwa
- Florent KYOMBO - Misenyi
- Adonis BITEGEKO - Muleba Kaskazini
- Dk Oscar KIKOYO - Muleba Kusini
- Dotto BAHEMU - Ngara
KATAVI
- Laurent LUSWETULA - Kavuu
- Thomas MAGANGA - Katavi
- Haidar SUMURY - Mpanda Mjini
- Anna LUPEMBE - Nsimbo
- Moshi KAKOSO - Tanganyika
KIGOMA
- Alan Thomas MVANO - Kakonko
- Florance George SAMIZI - Muhambwe
- Prof Joyce NDALICHAKO - Kasulu Mjini
- Edibily KIMNYOMA - Kasulu Vijijini
- Prof Pius YANDA - Buhigwe
- Peter SERUKAMBA - Kigoma Kaskazini
- Nuru KASHAKARI (KANDAHALI) - Kigoma Kusini
- Clayton CHIPONDA (BABA REVO) - Kigoma Mjini
KILIMANJARO
- Ibrahim SHAYO - Moshi Mjini
- Prof Adolf MKENDA - Rombo
- Anne MALECELA - Same Mashariki
- Dk Mathayo MATHAYO - Same Magharibi
- Morris MAKOI - Moshi Vijijini
- Enock KOOLA - Vunjo
- Dk Godwin MOLLEL - Siha
- Saashisha MAFUWE -Hai
- Ngwaru MAGHEMBE - Mwanga
LINDI
- Mohamed UTALY - Lindi Mjini
- Salma KIKWETE Mchinga
- Kinjeketile MWIRU Kilwa Kaskazini
- Hasnain DEWJI- Kilwa Kusini
- Mshamu MUNDE - Liwale
- Nape NNAUYE - Mtama
- Kaspar MMUYA - Ruangwa
- Fadhili LIWAKA - Nachingwea
MANYARA
- Emmanuel KHAMBAY - Babati Mjini
- Daniel SILLO - Babati Vijijini
- Zacharia ISSAAY Mbulu Mjini
- Emmanuel NUWAS - Mbulu Vijijini
- Asia HALAMGA - Hanang’
- James MILLYA - Simanjiro
- Edward Ole Lekaita - Kiteto
MARA
- Ester BULAYA - Bunda Mjini
- Boniphace GETERE - Bunda Vijijini
- Dk Wilson CHARLES - Butiama
- Mgore KIGERA - Musoma Mjini
- Profesa Mwijarubi MUHONGO - Musoma Vijijini
- Jafari CHEGE - Rorya
- Mary JOSEPH - Serengeti
- Esther MATIKO - Tarime Mjini
- Mwita WAITARA - Tarime Vijijini
- Kangi LUGORA - Mwibara
MBEYA
- Adkin MWALUNENGE - Mbeya Mjini
- Patali PATALI - Mbeya Vijijini
- Dk Tulia ACKSON - Uyole
- Bahati NDINGO - Mbarali
- Baraka MWAMENGO - Kyela
- Lutengano MWALWIBA - Busokelo
- Anton MWANTONA - Rungwe
- Masache KASAKA - Lupa
MOROGORO
- Abdul Aziz ABOOD - Morogoro Mjini
- Hamisi TALE TALE - Morogoro Kusini Mashariki
- Zuberi MFAUME - Morogoro Kusini
- Ahmed SHABIBY - Gairo
- Sarah ALLY - Mvomero
- Profesa KABUDI- Kilosa
- Dennis LONDO - Mikumi
- Salim HASHAM - Ulanga
- Mecktrids MDAKU - Malinyi
- Abubakar ASENGA - Kilombero
- Kellen RWAKATARE - Mlimba
MTWARA
- Joel Arthur NANAUKA Mtwara Mjini
- Arif Selemani PREMJI Mtwara Vijijini
- Abdallah Dadi CHIKOTA Jimbo La Nanyamba
- Katani Ahmadi KATANI Tandahimba
- Rashidi Mohamedi MTIMA Newala Mjini
- Yahaya Esmail NAWANDA Newala Vijijini
- Issa Ally MCHUNGAHELA Lulindi
- Leonard Douglas AKWILAPO Masasi
- Faraji Buriani NANDALA Ndanda
- Yahya Ally MHATA Nanyumbu
MWANZA
- Kafiti William KAFITI Morogoro
- Bulala Mtesigwa COSMAS Kwimba
- Bujaga Charles MOSES Sumve
- Kiswaga Destery BONIVENTURE Magu
- Silvery Luboja SALVATORY Misungwi
- nzilanyingi Francisco JOHN Nyamagana
- Dk Swetbert Zacharia MKAMA Ukerewe
- Tabasamu Hamis MWAGAO Sengerema
- Erick James SHIGONGO Buchosa
NJOMBE
- Festo Zacharius SANGA Makete
- Joseph Zacharius KAMONGA Ludewa
- Festo John DUGANGE Wangingómbe
- Daniel Godfey CHONGOLO Makambako
- Edwin Enosy SWALLE Lupembe
- Deodatus Philip MWANYIKA Njombe Mjini
PWANI
- Mohamed Omary MCHENGERWA -Rufiji
- Silyvestry Francis KOKA Kibaha Mjini
- Amina Mussa MKUMBA Kibiti
- Subira Khamis MGALU Bagamoyo
- Ridhiwani Jakaya KIKWETE Chalinze
- Hamoud Abuu JUMAA Kibaha Vijijini
- Abdallah Hamisi ULEGA Mkuranga
- Dk Selemani Said JAFO Kisarawe
- Omari Juma KIPANGA Mafia
RUKWA
- Edifonsi Joackim KANONI Kalambo
- Salum Hamad KAZUKAMWE Nkasi Kaskazini
- Moses Ludovico KAEGELE Nkasi Kusini
- Aeshi Khalfan HILALY Sumbawanga Mjini
- Deus Clement SANGU Kwela
RUVUMA
- Jonas William MBUNDA Mbinga Mjini
- Judith Salvio KAPINGA Mbinga Vijijini
- Dk Juma Zuberi HOMERA Namtumbo
- Sikudhani Yassin CHIKAMBO Tunduru Kaskazini
- Fadhil Sandali CHILOMBE Tunduru Kusini
- John John NCHIMBI Nyasa
- Dk Damas Daniel NDUMBARO Songea Mjini
- Omary Marcus MSIGWA Madaba
- Jenista Joakim MHAGAMA Peramiho
SHINYANGA
Ahmed Ally SALUM Solwa
Azza Hillal HAMAD Itwangi
Patrobass Paschal KATAMBI Shinyanga Mjini
Lucy Thomas MAYENGA Kishapu
Benjamin Lukubha NGAYIWA Kahama Mjini
Mabula Johnson MAGANGILA Msalala
Emmanuel Peter CHEREHANI Ushetu
SIMIYU
- Kundo Andrea. MATHEW Bariadi Mjini
- Masanja Kungu KADOGOSA Bariadi Vijijini
- Simon Songe LUSENGEKILE Busega
- Njalu Daudi SILANGA Itilima
- George Venance LUGOMELA Maswa Mashariki
- Mashimba Mashauri NDAKI Maswa Magharibi
- Salum K Khamis SALUM Meatu
- Musa Godfrey MBUGA Kisesa
SINGIDA
- Yagi Maulid KIARATU Singida Mjini
- Haiderali Hussein GULAMALI Ilongero
- Jesca David KISHOA Iramba Mashariki
- Dk Mwigulu Lameck NCHEMBA Iramba Magharibi
- Thomas Mgonto KITIMA Ikungi Mashariki
- Elibariki Immanuel KINGU Ikungi Magharibi
- Dk Pius Stephen CHAYA Manyoni
- Yohana Stephen MSITA Itigi
SONGWE
- Japheti Ngailonga HASUNGA Vwawa
- Onesmo.M. MNKONDYA Mbozi
- David Ernest SILINDE Tunduma
- Condester Michael SICHALWE Momba
- Philipo Augustino MULUGO Songwe
- Godfrey KASEKENYA Ileje
TABORA
- Amosy William MAGANGA Sikonge
- Hawa Subira MWAIFUNGA Tabora Mjini
- Joseph Enock TAMA Kaliua
- Japhael Masanja LUFUNGIJA Ulyankulu
- Hussein Mohammed BASHE Nzega Mjini
- John Stephano LUHENDE Bukene
- Neto Paul KAPALATA Nzega Vijijini
- Henry C. KABEHO Igunga
- Abuubakary A. OMARY Manonga
- Shaffin Ahmedal SUMAR Uyui
- Juma Ramadhani MUSTAFA (KAWAMBA) Igalula
- Margaret SITTA Urambo
MKOA WA TANGA
- Kassimu Amari MBARAKA Tanga
- Rashidi Abdallah SHANGAZI Mlalo
- Shemdoe Riziki SILAS Lushoto
- Ramadhani Hamza SINGANO (ENG) Bumbuli
- Hamis MWINJUMA (Mwana FA) Muheza
- Twaha Said MWAKIOJA Mkinga
- Salehe Mbwana MHANDO Kilindi
- Jumaa Hamidu AWESO Pangani
- Charles Jacob SUNGURA Handeni Vijijini
- Charles Mhando NJAMA Korogwe Mjini
- Timotheo P. MNZAVA Korogwe Vijijini
- Kwagilwa Reuben NHAMALILO Handeni Mjini
WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KWA NAFASI ZA UBUNGE WA VITI MAALUMU MIKOA KWA UPANDE WA TANZANIA BARA
ARUSHA
- Marirta Gido KIVUNGE
- Chiku Athuman ISSA
DAR ES SALAAM
- Janeth Elias MAHAWANGA
- Amina Good SAID
DODOMA
Neema Peter MAJULE
Jesca Yuda MBOGO
GEITA
Regina Henry MIKENZE
Josephine Tabitha CHAGULA
IRINGA
- Rose Cyprian TWEVE
- Nancy Hassan NYALUSI
KAGERA
- Devotha Daniel MBURARUGABA
- Samira Khalfani AMOUR
KATAVI
- Martha Festo MARIKI
- Taska Restituta MBOGO
KIGOMA
- Zainabu Athumani KATIMBA
- Naomi Duncan MWAIPOPO
KILIMANJARO
- Esther Edwin MALLEKO
- Zuena Athumani BUSHIRI
LINDI
Kijakazi Yunus MOHAMED
Zainabu Rashidi KAWAWA
MANYARA
- Regina Ndege QWARAY
- Yustina Arcadius RAHHI
MARA
- Agness Mathew MARWA
- Ghati Zephania CHOMETE
MBEYA
- Suma Ikenda FYANDOMO
- Maryprisca Winfred MAHUNDI
MOROGORO
- Lucy Similya KOMBANI
- Sheila Edward LUKUBA
MTWARA
- Agness Elias HOKORORO
- Asha Salum MOTTO
MWANZA
- Mary Francis MASANJA
- Kabula Enock SHITOBELA
NJOMBE
- Pindi Hazara CHANA
- Rebecca Sanga NSEMWA
PWANI
- Hawa Mchafu CHAKOMA
- Mariam Abdallah IBRAHIM
RUKWA
Sylivia Francis SIGULA
Jacqueline Chrisant MZINDAKAYA
RUVUMA
- Jacqueline Ngonyani MSONGOZI
- Mariam Madalu NYOKA
SHINYANGA
- Santiel Erick KIRUMBA
- Christina Christopher MNZAVA
SIMIYU
- Tinnar Andrew CHENGE
- Ester Lukago MDIMU
SINGIDA
- Marth Nehemia GWAU
- Aysharose Ndogholi MATTEMBE
SONGWE
Juliana SHONZA
Neema C. MWANDABILA
TABORA
- Aziza Slyeum ALLY
- Christina Solomon MNDEME
TANGA
- Husna Juma SEKIBOKO
- Mwanaisha Ng’anzi ULE
WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KWA NAFASI ZA UBUNGE WA VITI MAALUMU MAKUNDI KWA UPANDE WA TANZANIA BARA
KUNDI LA NGO’S
- Magreth Baraka EZEKIEL
- Rahma Riadh KISUO
KUNDI LA WANAWAKE WA VYUO VIKUU
- Selina Henry KINGALAME
- Asha Juma FERUZI
- Dk Regina Christopher MALIMA
KUNDI LA WAFANYAKAZI
- Halima Iddi NASSOR
- Mariam Anzuruni MUNGULA
KUNDI LA WANAWAKE WENYE ULEMAVU
- Ummy Hamisi NDERIANANGA
- Stela Ikupa ALEX
- Aisha Msantu MDUYAH
KUNDI LA VIJANA
- Ng’wasi Damas KAMANI
- Jesca John MAGUFULI
- Halima Abdallah BULEMBO
- Lulu Guyo MWACHA
- Timida Mpoki FYANDOMO
- Jasmin Chesco NG’UMBI
KUNDI LA WAZAZI
- Dk Catherine Canute JOAKIM
WAGOMBEA WALIOTEULIWA KWA NAFASI YA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
- MKOA WA KASKAZINI PEMBA
- WILAYA YA WETE
- Jimbo la Wete
Harusi Said SULEIMAN
- Jimbo la Gando
Maryam Thani JUMA
- Jimbo la Mtambwe
Maryam Ali RASHID
- Jimbo la Pandani
Mkubwa Ali SULEIMAN
- Jimbo la Kojani
Shaame Ali ALI
- WILAYA YA MICHEWENI
- Jimbo la Micheweni
Dk Hamad Omar BAKAR
- Jimbo la Tumbe
Salma Khamis TUMU
- Jimbo la Konde
Zawadi Amour NASSOR
- Jimbo la wingwi
Yunus mbarouk KOMBO
WAGOMBEA WALIOTEULIWA KWA NAFASI YA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
- MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
- WILAYA YA KASKAZINI “A”
- Jimbo la Chaani
Juma Usonge HAMAD
- Jimbo la Kijini
Badria Atai MASOUD
- Jimbo la Mkwajuni
Sulubu Kidongo AMOUR
- Jimbo la Tumbatu
Mahmoud Omar HAMAD
- Jombo la Nungwi
Dkt. Salum Soud HAMAD
- WILAYA YA KASKAZINI “B”
- Jimbo la Bumbwini
Yussuf Ali HASSAN
- Jimbo la Donge
Dk Khalid Salum MOHAMMED
- Jimbo la Mahonda
Mboja Ramadhan MSHENGA
WAGOMBEA WALIOTEULIWA KWA NAFASI YA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
- MKOA WA KUSINI PEMBA
- WILAYA YA CHAKE CHAKE
- Jimbo la Chakechake
Abdulwahab Said ABUBAKAR
- Jimbo la Chonga
Suleiman Masoud MAKAME
- Jimbo la Ole
Amour Abdalla KASSIM
- Jimbo la wawi
Bakar Hamad BAKARI
- Jimbo la Ziwani
Suleiman Makame ALI
- WILAYA YA MKOANI
- Jimbo la Chambani
Bahati Khamis KOMBO
- Jimbo la Kiwani
Hemed Suleiman ABDULLAH
- Jimbo la Mkoani
Khamis Mohamed AMRANI (Kijazi)
- Jimbo la Mtambile
Ali Suleiman JUMA
WAGOMBEA WALIOTEULIWA KWA NAFASI YA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
- MKOA WA KUSINI UNGUJA
- WILAYA YA KATI
- Jimbo la Chwaka
Issa Haji USSI (Gavu)
- Jimbo la Tunguu
Simai Mohammed SAID
- Jimbo la Uzini
Said Azani HASSAN (Msingiri)
- WILAYA YA KUSINI
- Jimbo la Makunduchi
Dkt. Mwalimu Haroun Ali SULEIMAN
- Jimbo la Paje
Jaku Hashim AYOUB
WAGOMBEA WALIOTEULIWA KWA NAFASI YA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
- MKOA WA MAGHARIBI
- WILAYA YA DIMANI
- Jimbo la Dimani
Mwanaasha Khamis JUMA
- Jimbo la Fuoni
Juma Hassan THABIT (Kaponda)
- Jimbo la K/Samaki
Abdulla Kambotwe ABDULLA
- Jimbo la M/Kwerekwe
Mohammed Manzi HAJI
- Jimbo la Pangawe
Ali Suleiman AMEIR (Mrembo)
- WILAYA YA MFENESINI
- Jimbo la Bububu
Mudrik Ramadhan SULEIMAN (Sorga)
- Jimbo la Mfenesini
Machano Othman SAID
- Jimbo la Mwera
Mihayo Juma SULEIMAN (Nhunga)
- JIMBO LA MTONI
Hussein Ibrahim MAKUNGU (Bhaa)
- Jimbo la Welezo
Hassan Khamis HAFIDH (Diasphora)
WAGOMBEA WALIOTEULIWA KWA NAFASI YA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI
- MKOA WA MJINI
- WILAYA YA AMANI
- Jimbo la Amani
Masoud Amour MASOUD
- JIMBO LA CHUMBUNI
Makame Mohamed SUFIANI
- Jimbo la Magomeni
Mahfoudh Abdallah MOHAMMED
- Jimbo la Mpendae
Shaabani Ali OTHMAN
- Jimbo la Shaurimoyo
Hamza Hassan JUMA
- WILAYA YA MJINI
- Jimbo la Jang’ombe
Ali Abdulghulam HUSSEIN
- Jimbo la Kikwajuni
Seif Kombo PANDU
- Jimbo la Kwahani
Mohammed Sijanini MOHAMMED
- Jimbo la Malindi
Abdulghan Ismail ZUBEIR