Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mpango wa kilimo waonesha usalama wa chakula kuwa hatarini

Mabadiliko ya hali ya hewa yanatishia  kushuka kwa uzalishaji wa mazao na kilimo nchini Pakistan huku serikali ikidaiwa kutochukua hatua madhubuti kumaliza tatizo hilo.

Sababu zinazotajwa kusababisha kushuka kwa kilimo  cha mahindi, ngano, pamba na mpunga ni joto kali, ukame wa muda mrefu, mvua kubwa na mafuriko.

Pakistan ni miongoni mwa nchi 10 zilizoathiriwa na hali ya hewa ambapo watu zaidi ya 500 walikufa huku hasara  kila mwaka ikidaiwa kuwa Dola za Marekani bilioni 3.2.

Hayo yameelezwa katika Mpango wa Kilimo Bora na Hali ya Hewa (CSA) unaoongozwa na Benki ya Dunia ukibainisha kuwa kilimo kitashuka kwa kwa kiasi kikubwa  kutokana na joto kuongezeka  hadi nyuzi 2.8 huku mvua ikitajw akuongezeka kwa asilimia saba hadi igikapo mwaka 2050.

"Mabadiliko ya kuongezeka kwa joto yanaweza kuleta changamoto kubwa katika kilimo hasa Kaskazini mwa Pakistan ambapo hatari ya mabadiliko ya hali ya hewa  iko juu. Kuongezeka kwa joto kutaongeza mzungu