Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Kufukuzwa kazi Othman kuling’arisha rekodi yake

Kufukuzwa kazi Othman kuling’arisha rekodi yake

Muktasari:

  • Jina la Othman Masoud Othman Sharif ambaye jana aliteuliwa kuwa Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar si geni katika siasa za Zanzibar.

Dar es Salaam. Jina la Othman Masoud Othman Sharif ambaye jana aliteuliwa kuwa Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar si geni katika siasa za Zanzibar.

Anatambulika miongoni mwa Wazanzibari katika masuala ya sheria na mikakati na hasa kutokana na msimamo usioyumba.

Pamoja na umahiri katika utendaji, kabla ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba Mpya uliokwama mwaka 2014, si watu wengi walimfahamu Othman.

Habari kamili jipatie nakala yako ya Mwananchi leo.