Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Aliyekuwa RC Simiyu aachiwa huru

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda katika kesi ya kulawiti iliyokuwa ikimkabili.

Katika uamuzi wake kwenye kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024, yenye kosa la kulawiti, uliosomwa na Hakimu, Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo Erick Marley.

Katika uamuzi huo, Hakimu Marley amesema mahakama hiyo baada ya kupitia maelezo ya ushahidi na vielelezo imejiridhisha kuwa hakukuwa na muunganiko wa ushahidi unaoweza kumtia mshtakiwa Dk Nawanda hatiani na hivyo kumwachia huru.


Endelea kufuatilia Mwananchi