Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1644 results for Waandishi Maalumu :

  1. Mnyika avunja ukimya fedha za Join The Chain, Lema ampongeza

    Baada ya maswali lukuki kuhusu zilivyotumika fedha zilizokusanywa wakati wa kampeni ya Join the Chain iliyofanywa na Chadema, Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika amebainisha kiasi...

  2. Kelele za rushwa zaibua wadau

    Kukithiri kwa vitendo vya rushwa nchini kunatajwa kuwa tatizo mtambuka linalogusa malezi, kukosa hofu ya Mungu, na ukosefu wa masilahi kazini.

  3. Mwenyekiti Chadema Katavi asema ni zamu ya Lissu, Mbowe apumzike

    Mwenyekiti wa Chadema, Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela amesema uadilifu, uwazi na misimamo ya kupinga vitendo vya rushwa ni sababu inayomsukuma kumuunga mkono, Tundu Lissu kuwania uenyekiti wa...

  4. PRIME Mrithi wa Kinana CCM huyu hapa

    Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijipanga kufanya mkutano mkuu maalumu kuanzia Januari 18 hadi 19, 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda, anatajwa zaidi kumrithi Abdulrahman Kinana...

  5. ACT-Wazalendo yapuliza kipenga Uchaguzi Mkuu 2025

    Chama cha ACT-Wazalendo kimepuliza kipenga kwa wanachama wake wenye sifa za kugombea uongozi katika Uchaguzi Mkuu 2025 kuanza kutangaza nia.

  6. PRIME Trafiki matatani kwa madai ya kudhalilisha Jeshi la Polisi

    Video ambayo inasambaa mtandaoni inawaonesha trafiki wakipokea rushwa kutoka kwa makondakta wa daladala.

  7. PRIME Hatua kwa hatua uchaguzi wa Bavicha, Bazecha usiku kama mchana

    Makada wa Chadema, Deogratius Mahinyila na Suzan Lyimo wameshinda nafasi za uenyekiti wa Baraza la Vijana (Bavicha) na Wazee (Bazecha) katika uchaguzi uliokuwa na pilika pilika za hapa na pale.

  8. Wataalamu: Kipindupindu kidhibitiwe kama Uviko-19

    Wakati baadhi ya mikoa nchini ikiripotiwa kukumbwa na kipindupindu, wataalamu wa afya wameshauri juhudi zilizotumika kudhibiti Uviko-19 zitumike kukomesha ugonjwa huo.

  9. DRC yaifungia Al Jazeera kurusha matangazo nchini humo

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) imekifungia kituo cha televisheni cha Al Jazeera kutokana kile ilichokisema imerusha mahojiano na kiongozi wa kundi la waasi wa M23, Bertrand...

  10. Vipaumbele vinane vya Serikali kuimarisha uwekezaji 2025

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump amesema maandalizi ya kikao chake na rais wa Russia, Vladimir Putin yameanza kufanyika huku akisema kiongozi huyo anataka kukutana naye.

Previous

Page 11 of 165

Next