Waziri aanika chanzo mfuko NHIF kuyumba
Kutokana na sitofahamu iliyoibuka hivi karibuni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameibuka na kueleza chanzo cha kulegalega kwa mfuko huo.
Kutokana na sitofahamu iliyoibuka hivi karibuni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameibuka na kueleza chanzo cha kulegalega kwa mfuko huo.