Picha Ziara ya Rais Samia mkoani Geita Jumamosi, Oktoba 15, 2022 Rais Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Katoro mkoani Geita wakati alipowasili mkoani humo kufanya ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumamosi Oktoba 15, 2022. Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Fursa mpya, vilio mgawanyo wa majimbo Uamuzi huo wa INEC, kwa mujibu wa wadau wa siasa, una pande tamu na chungu kwa wabunge wa sasa wenye nia ya kuendelea kugombea nafasi hizo.
Haya hapa majimbo mapya ya uchaguzi, yamo Chamazi na Chato Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji wa Rufaa, Jacobs Mwambegele amesema walipokea jumla ya maombi 34 ya kugawanywa kwa majimbo na 10 ya kubadili majina ya majimbo.
PRIME Zijue amri 10 za kuwa tajiri Amri hizi si tu kuhusu kujikusanyia utajiri, bali kujenga uhusiano mzuri na fedha, kuhakikisha usalama wa kifedha, na kuacha urithi kwa vizazi vijavyo.