Picha Ndege mpya ya mizigo yatua Tanzania Jumamosi, Juni 03, 2023 Ndege mpya ya Mizigo aina ya Boeing 767-300F ya Shirika la Ndege la Tanzania ATCL ikiwasili nchini kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Juni 03,2023. Photo: 1/3 View caption Photo: 2/3 View caption Photo: 3/3 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
Polisi yawanasa watuhumiwa madai mauaji ya kijana kwa kipigo Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu wawili akiwemo Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Liyobahika, Ferdinand Antony kwa tuhuma za mauaji ya kijana Enock Mhangwa, huku watuhumiwa wengine...
PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Sababu 10 za ‘kibongo bongo’ kwanini asilimia 50 ya wabunge hawatarudi 2025 Wanasayansi wa masuala ya siasa wanabainisha sababu kadhaa zinazofanya baadhi ya wabunge wasichaguliwe tena.
PRIME Miaka 10 ya Majaliwa ilivyoonyesha upekee Akiwa Waziri Mkuu wa 10 baada ya uhuru wa Tanzania, Majaliwa amefanya kazi na marais wawili--hayati John Magufuli, aliyemteua kwa mara ya kwanza kuwa Waziri Mkuu, na Samia Suluhu Hassan...