Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

LIVE: Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana leo

Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akizungumza na mawakili wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Picha na Mtandao

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu.

Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana

Kesi hiyo imefunguliwa mahakamani hapo kwa ajili ya uchunguzi wa awali kabla ya kuhamishiwa Mahakama Kuu ambayo ndio ina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo ya uhaini, baada ya taratibu za msingi kukamilika ukiwemo upelelezi.


Endelea kufuatilia Mwananchi.