Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Kamanda wa Polisi asema chanzo cha ajali iliyoua 35 ni mwendo kasi

Arusha. Kamanda wa Polisi, mkoa wa Arusha amesema uchunguzi wa awali wa ajali iliyoua zaidi ya watu 35 wakiwamo wanafunzi 32,  wilayani Karatu umeonyesha kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi.

Kamanda Mkumbo amesema hadi sasa wanafunzi watatu waliojeruhiwa katika ajali hiyo wamefikishwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru.

 Alisema majeruhi wengine wamefariki njiani wakati wakikimbizwa hospitali.