Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Russia yasema haijatangaza vifo vya wanajeshi wake

Muktasari:

  • Wizara ya Ulinzi nchini Russia leo Jumamosi Februari 26, 2022 imesema haijatangaza vifo vya wanajeshi wake wala majeruhi wanaoshambulia nchini Ukraine

Wizara ya Ulinzi nchini Russia leo Jumamosi Februari 26, 2022 imesema haijatangaza vifo vya wanajeshi wake wala majeruhi wanaoshambulia nchini Ukraine

Jana Serikali ya Ukraine ilitangaza vifo vya wanajeshi wa Russia walioshiriki mashambulizi yanayoendelea hivi sasa nchini humo

Hata hivyo taarifa iliyotolewa leo na Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa haijatangaza vifo wala majeruhi wa wanajeshi wake bali mashambulizi waliyoyafanya wamepata hasara ya vifaa vya kivita.

 Huyu ndiye Rais wa Russia Vladmir Putin

Vita vya Vladmir Putin dhidi ya Ukraine vilianza kiongozi huyo alipokwenda kwenye televisheni ya Taifa na kutangaza “operesheni maalumu ya kijeshi”. Soma zaidi

Putin alitaka jeshi la Ukraine kuondoa uongozi wa nchi

Rais wa Russia, Vladimir Putin amelitaka jeshi la Ukraine kuondoa uongozi uliopo madarakani wa Rais Volodymyr Zelensky huku akiutuhumu kuwa wa kigaidi na genge la watumiaji wa dawa za kulevya.  Soma zaidi