Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1644 results for Waandishi Maalumu :

  1. Nondo aibua mpya utekaji wake, Polisi yamjibu

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT- Wazalendo, Abdul Nondo amesikitishwa na ukimya wa Jeshi la Polisi kushindwa kumpatia mrejesho wa tukio la kutekwa kwake na watu wasiojulikana...

  2. PRIME Hofu ya kipindupindu yatanda, shule zikifunguliwa

    Wakati baadhi ya wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wakionyesha hofu, wakisita kupeleka watoto shule kutokana na mlipuko wa kipindupindu, viongozi na wataalamu wamewatoa wasiwasi.

  3. Mrithi wa Kinana kujulikana Januari 19 Dodoma

    Tangu Kinana alipojiuzulu, nafasi hiyo imebaki wazi kwa kipindi cha takriban miezi mitano, jambo ambalo ni la kipekee katika historia ya chama hicho.

  4. PRIME Uchaguzi Chadema: Ni vita ya wakubwa

    Wakati dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania uongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) likifungwa, mchuano unasubiriwa baina ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu na ule wa...

  5. Kipindupindu chaitesa Mbeya, RC atoa maagizo

    Wakati ugonjwa wa kipindupindu ukitajwa kuwapo katika halmashauri tatu za Mkoa wa Mbeya, mkuu wa mkoa huo, Juma Homera ametoa maelekezo kwa wakuu wa wilaya na kamati za afya.

  6. Mwinyi amjibu Othman tuhuma za ufisadi, deni la Taifa

    Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amejibu tuhuma zilizotolewa na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman kuhusu ufisadi na ongezeko la deni la taifa lisiloendana na kazi zinazofanyika.

  7. Polisi yawafungia leseni madereva 30 kwa ulevi Dar

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafungia leseni madereva 30 kati ya 179 waliokamatwa katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025.

    New Content Item (1)
  8. PRIME Wimbi la udukuzi mtandao wa  WhatsApp

    Wimbi la udukuaji wa akaunti za WhatsApp limeanza kutikisa nchini huku watumiaji wa mtandao huo wakilalamika kutapeliwa baada ya kutoa ‘code number’ kwa wadukuaji hao.

  9. Auawa akidaiwa kuchomwa kisu, amani yatawala Krismasi

    Hali ya amani imetawala katika maeneo mbalimbali nchini wakati wa sherehe za Krismasi

  10. Watuhumiwa 81 wakamatwa Shinyanga, mmoja atokomea, akitelekeza bunduki

    Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limewakamata watuhumiwa 81 katika oparesheni maalumu, huku mmoja akitoroka na kutelekeza silaha aina ya gobore katika Kijiji cha Bugomba “A”, Kata ya Ulewe...

Previous

Page 12 of 165

Next