OCD afariki ajalini, askari mwingine avunjika mkono Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamtafuta dereva wa daladala aliyesababisha ajali ya barabarani ambayo imekatisha maisha ya Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika (OCD), Awadh Chico na...
Miaka minne ya Magufuli kaburini, Chato kumkumbuka leo Jumatano ya Machi 17, 2021, Tanzania iligubikwa na wingu zito la kumpoteza Rais aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM.
Walioitwa kwenye usaili BoT hawa hapa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa majina ya waliopita katika usaili wa maandishi, huku ikiwaita katika usaili wa mahojiano na vitendo kwa baadhi ya kada.