Profesa Janabi ashinda kwa kishindo WHO Mwakilishi wa Tanzania katika nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Profesa Mohammed Janabi ameshinda kwa kishindo nafasi hiyo.
PRIME Nani kasema kitanda hakizai haramu? Hamjasikia visa vya baadhi ya wanaume kuua watoto wasio wao au wanandoa wanaoua wenzao wagunduapo wamebambikiwa watoto? Je hapa kitanda hakijazaa haramu na jinai?
Mchome avuliwa uongozi Chadema Mchome amekutana na kadhia hiyo kipindi ambacho amekuwa na migogoro na chama chake hasa baada ya barua ya malalamiko dhidi ya baadhi ya viongozi wa sekretarieti na kamati kuu akidai walipitiswa...