Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, viongozi mbalimbali pamoja na familia, wakishuhudia mwili wa marehemu Suzana Ngolo Magufuli ambaye ni Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk John Magufuli, ukishushwa kaburini wakati wa mazishi yaliyofanyika leo Ijumaa Mei 29, 2026 Kilimani Wilayani Chato.