Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam katika Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Singapore, lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.