Peter Akaro

Mwandishi wa habari na makala za burudani katika gazeti la Mwananchi na Mwanaspoti.Amesoma katika chuo cha Time School of Journalism (TSJ).

Mwandishi wa habari na makala za burudani katika gazeti la Mwananchi na Mwanaspoti.Amesoma katika chuo cha  Time School of Journalism (TSJ).

Pia ni Mwandishi wa vitabu ambapo hadi sasa nimefanikiwa kuachia viwili rasmi; Bongo Music Facts na Tanzania ya viwanda ambavyo vinapatikana kwenye mtandao wa Amazon.com.

1. Bongo Music Facts; https://amzn.to/34cJmmF

2. Tanzania ya Viwanda; https://amzn.to/3euiIuS

Kwa sasa anafanya kazi na Mwananchi Communication Limited. Kabla ya hapo ameshafanya kazi na Quality Media Group, Bongo5.com, Lilommy.com na Muungwana.co.tz.