Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

DC ataka vikundi vya sungusungu

File Photo

Muktasari:

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Nyabaganga Talaba amesema hayo alipozungumza na wakazi wa Kijiji cha Magalata, Kata ya Mwamalasa.

Kishapu. Wananchi wametakiwa kuanzisha vikundi vya sungusungu ili kuimarisha ulinzi.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Nyabaganga Talaba amesema hayo alipozungumza na wakazi wa Kijiji cha Magalata, Kata ya Mwamalasa.

Amesema iwapo wataanzisha sungusungu hali ya usalama itaimarika katika maeneo hayo.