Mbunge wa Igunga Rostam Aziz (kulia) na mbunge wa Kigoma Mjini Peter Selukamba wakibadilishana mawazo wakati wa kikao cha kumi na moja cha mkutano wa 18 wa Bunge mjini Dodoma jana.
Monja Liseki wa Mtibwa Sugar akiwania mpira na Fred Mbuna wa Yanga kwenye mechi ya ligi kuu ya Vodacom iliyofanyika jana kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Yanga ilishinda 3-1