Safari mpya ya mageuzi, siku 1,096 za Samia madarakani Samia ametimiza siku 1096 tangu alipoapishwa kuwa Rais Machi 19, 2021, Ikulu ya Dar es Salaam, baada ya kifo cha mtangulizi wake, John Magufuli.
VIDEO: Adha ya daraja inavyowatesa wakazi Pwani, Dar Daraja hilo linategemewa hasa na wananchi wa kata ya Pangani ambao hununua mahitaji yao upande wa Kibwegere jijini Dar es Salaam.
Rais Samia amteua bosi mpya AICC kutoka Kadco Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Vifo vya malaria, Ukimwi na TB vyapungua Dar es Salaam. Idadi ya watu wanaofariki kutokana na magonjwa ya Ukimwi, kifua kikuu na malaria kwa kipindi imepungua cha miaka mitatu kutokana na maboresho yalifanyika katika sekta ya afya...
Halmashauri Same yapewa miezi sita kuboresha masoko DC Same asema mazingira bora yataongeza ukusanyaji mapato.
Fahamu asili ya magenge ya kihalifu yanayoitesa Haiti Inaaminika kuwa kuna takribani magenge 200 ya kihalifu yenye silaha nchini Haiti, nusu yake yakipatikana katika Mji Mkuu wa Port-au-Prince yakiwemo mawili tishio ya G9 na GPep.
Fahamu asili ya magenge ya kihalifu yanayoitesa Haiti Inaaminika kuwa kuna takribani magenge 200 ya kihalifu yenye silaha nchini Haiti, nusu yake yakipatikana katika Mji Mkuu wa Port-au-Prince yakiwemo mawili tishio ya G9 na GPep.
Sababu matukio ya ukatili kuongezeka Zanzibar Malezi duni ya watoto yanayofanywa na wazazi, kukosa elimu ya kujitambua na umasikini vinatajwa na wadau kuwa sababu ya kuongezeka kwa matukio ya ukatili wa kijinsia na udhalilishaji, visiwani...
Rais kusikiliza kero za wananchi sawa, lakini… Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Akasema utaratibu huo utakuwa ukifanyika katika Ofisi ya Chama (CCM), Lumumba Dar es Salaam, Dodoma au Zanzibar...
PRIME Kitendawili cha pombe, sigara kwenye mfumuko wa bei Wakati mfumuko wa bei wa jumla ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari 2023 hadi asilimia tatu Januari 2024, hali haikuwa hivyo kwa bidhaa za pombe na sigara.
Ishu ya majeraha ya Pacome, Aucho iko hivi Wakati mashabiki wa Yanga wakizidi kuwa na presha baada ya kuumia kwa wachezaji wao imefahamika ripoti ya wachezaji hao wawili walioumia kwenye mchezo dhidi ya Azam, kiungo Pacome Zouzoua na beki...
Rais Samia atazame sanaa, na wasanii wa mikoani Katika makala ya leo nitaanza tofauti kidogo, nitaanze na wasifu wangu mwenyewe. Nilipanda jukwaani kupiga muziki kwa mara ya kwanza mwaka 1969, nikiwa na wenzangu akina Iddi Mwanahewa, John...
Rais Samia anaongozwa na falsafa gani katika uongozi wake?-5 Dhana ya mageuzi imezoeleka sana kwenye medani za siasa na uchumi. Si wakati wote mageuzi yanaanza kwenye fikra kwanza; kuna wakati mageuzi huanza kutekelezwa kwenye vitendo ndipo yakatafsiriwa...
Sintofahamu mitihani ya mchujo kwa walimu Mitihani ya mchujo ni moja ya mbinu za kupata wafanyakazi bora katika eneo husika, ambayo mara nyingi hufanywa ili kuhakiki uwezo alionao mwombaji wa ajira kulingana na utaalamu stahiki.