KESI YA UKAHABA: Majibu ya shahidi yalivyoiudhi Mahakama Hakimu Kasebele amewahoji waendesha mashtaka iwapo walitimiza wajibu wao, akisema hawezi kuvumilia kuendelea na kesi katika hali kama hiyo. Amesema ikiendelea atachukua hatua zaidi.
TRA Kigoma yakiri kumtambua mtumishi anayedaiwa kudakwa na meno ya tembo Hata hivyo, kuhus kukamatwa kwake, Shuma amesema na yeye amesikia na kuona taarifa za kukamatwa kwake mitandaoni, lakini taarifa rasmi hana.
Mambo ya kuzingatia kuwa na afya bora Wataalamu hao wa afya ya binadamu, wamesisitiza kama mtu hatozingatia lishe bora kama dawa basi atatumia dawa kama lishe.