Picha Rais Samia asali sala ya Eid Mikocheni Jumatatu, Juni 17, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa amejumuika pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislam kwenye Sala ya Eid Al Adha iliyosaliwa katika Msikiti wa Mikocheni kwa Warioba Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Juni, 2024. Photo: 1/3 View caption Photo: 2/3 View caption Photo: 3/3 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
KESI YA UKAHABA: Majibu ya shahidi yalivyoiudhi Mahakama Hakimu Kasebele amewahoji waendesha mashtaka iwapo walitimiza wajibu wao, akisema hawezi kuvumilia kuendelea na kesi katika hali kama hiyo. Amesema ikiendelea atachukua hatua zaidi.
TRA Kigoma yakiri kumtambua mtumishi anayedaiwa kudakwa na meno ya tembo Hata hivyo, kuhus kukamatwa kwake, Shuma amesema na yeye amesikia na kuona taarifa za kukamatwa kwake mitandaoni, lakini taarifa rasmi hana.
Mambo ya kuzingatia kuwa na afya bora Wataalamu hao wa afya ya binadamu, wamesisitiza kama mtu hatozingatia lishe bora kama dawa basi atatumia dawa kama lishe.