PRIME SIO ZENGWE: Mkataba wa Diadora, Simba ni funguo nyingine SI kwamba hatutaki kampuni za ndani kupata mikataba minono ya udhamini, bali tunataka zijifunze kwa kampuni kubwa zilizoendelea na zenye uzoefu wa muda mrefu katika biashara.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi