Harmonize, RockStar Africa kuna jambo! NDIVYO unavyoweza kusema kwa jinsi ambavyo Harmonize ameendelea kushirikiana na wasanii ambao wapo chini ya lebo ya RockStar Africa, hatua ambayo inaonyesha uhusiano mzuri uliyopo kati yao.
Haya hapa mambo manne Ligi Kuu ikibakiza mechi mbili Wakati nyota wa Namungo, Fabrice Ngoy akiwa mchezaji wa tatu kufunga mabao matatu (hat trick) katika mchezo mmoja wa Ligi Kuu Bara, mambo manne yamebadilika ghafla.