Picha Mashabiki waipamba KMC, Yanga vs KenGold Alhamisi, Februari 06, 2025 Baadhi ya mashabiki wa soka waliofika kwenye Uwanja wa KMC kuutazama mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya KenGold, mchezo uliosha kwa Yanga kupata ushindi wa mabao 6-0. Photo: 1/5 View caption Photo: 2/5 View caption Photo: 3/5 View caption Photo: 4/5 View caption Photo: 5/5 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Simba yatinga fainali CAFCC, sababu nzito yatajwa Afrika Kusini Sare ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch ugenini kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban Afrika Kusini leo Aprili 27, 2025 imeivusha Simba kwenda hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika...
Kaseja ana kibarua cha 2015-2016 KOCHA wa Kagera Sugar, Juma Kaseja kwa sasa presha inazidi kupanda kutokana na nafasi iliyopo timu hiyo inayopambana na kutoshuka daraja, ingawa ikiwa atainusuru kupitia mechi tatu zilizobakia...
PRIME Yanga yaweka rekodi nyingine KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya ushiriki wa michuano ya Kombe la Muungano 2025 iliyoanza jana, huku ikiwa imeandika...