Picha Usalama wa abiria hatarini Ijumaa, Januari 12, 2024 Mwendesha baiskeli ya tairi matatu (guta) akikatiza barabara ya Morogoro, jijini Dar es Salaam huku akiwa amepakiza mzigo na abiria, jambo ambalo ni hatari kwa sheria za usalama barabarani. Picha na Said Khamis Photo: 1/1 View caption Join the discussion Login with your Nation account Commenting as Please add your name to your Nation profile to comment Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
Mgawo wa maji watikisa mijini, vijijini Licha ya wingi wa rasilimali maji zilizopo nchini, upatikanaji wa maji safi na salama, bado ni changamoto kwa wananchi ambao baadhi hupata maji kwa mgawo, huku wengine hasa vijijini wakitegemea...
Bei ya mafuta yazidi kushuka Bei ya mafuta imeendelea kushuka, baada ya Ewura kutangaza bei mpya kuanzia kesho, ambapo lita moja ya petroli itauzwa Sh2, 886, dizeli Sh3083 na mafuta ya taa Sh3, 275 kwa lita.
Rais Samia aomba mjadala changamoto bunifu sekta ya afya Rais Samia Suluhu Hassan ameziomba Jumuiya ya Kimataifa kujadili changamoto tatu zinazorudisha nyuma juhudi za kufanya bunifu kwenye sekta ya afya