Sabaya kortini peke yake leo
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamani leo kwa mara ya kwanza bila kuwa na wenzake wanne ambao Septemba 6 waliachiliwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamani leo kwa mara ya kwanza bila kuwa na wenzake wanne ambao Septemba 6 waliachiliwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.