Bunge laahirisha shughuli kujadili wanafunzi kukosa mikopo
Bunge limeahirisha shughuli zake kwa muda ili kujadili hoja iliyotolewa na Mbunge wa Biharamulo (CCM), Ezra Chiwelesa ya wanafunzi elimu ya juu waliofaulu vizuri kukosa mkopo.
Bunge limeahirisha shughuli zake kwa muda ili kujadili hoja iliyotolewa na Mbunge wa Biharamulo (CCM), Ezra Chiwelesa ya wanafunzi elimu ya juu waliofaulu vizuri kukosa mkopo.