CCM yapangua ratiba uchukuaji fomu ubunge, uwakilishi na udiwani Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza mabadiliko ya ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba kuwania udiwani, uwakilishi na ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
PRIME Ukiziona ishara hizi kapime, ni dalili za magonjwa ya ngono Mtaalamu wa Afya ya Jamii, Dk Ali Mzige anasema kuna dalili kadhaa zinazoashiria mtu amepata au anaishi na maambukizi ya ugonjwa mmojawapo wa ngono.
Mikoa hii ijiandae kwa mvua kwa saa 48 Wakati mvua iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam ikisababisha adha kwa wananchi, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Aprili 14, 2025 imetoa angalizo la mvua kubwa...